SITTI UMESHINDA, SAWA NINI KINAFUATA? HALAFU LUNDENGA NA WEWE!

KWAKO Miss Sitti Mtemvu mwakilishi wa Wilaya ya Temeke na sasa wewe ni Redds Miss Tanzania 2014. Vipi uko poa? Raha ya ushindi unaionaje? Najua sasa hivi bado hujatulia, unatafakari kwa makini juu ya shilingi milioni 18 ulizokabidhiwa kama mshindi, tafakari mama, ndiyo muda wake. Ukitaka kujua hali yangu, mimi ni mzima wa afya, namshukuru Mungu. Hongera kwa ushindi uliopata japo nimesikia kuna baadhi ya watu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
LUNDENGA AWAKA KISA SITTI
11 years ago
Vijimambo
HASHIM LUNDENGA AKANUSHA HABARI ZA SITTI MTEMVU aka MISS TANZANIA KUJIVUA TAJI.

Uvumi wa Sitti kuvua taji hilo umetokana na taarifa zilizotolewa kupitia akaunti ya Facebook mrembo huyo anayelalamikiwa kughushi vyeti vya kuzaliwa, akisema kutokana na vidole vya lawama anavyooshewa kiasi cha kuosa amani,...
10 years ago
Bongo520 Nov
Lundenga ajibu swali la kama Sitti Mtemvu atanyang’anywa zawadi alizopewa aliposhinda taji la Miss Tanzania 2014
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Wewe na mimi tunafanya nini kuendeleza elimu?
10 years ago
GPL
KWA NINI UACHWE WEWE KILA SIKU?
10 years ago
GPL
WANAPENDANA, WEWE UNAWAFITISHA WAACHANE ILI UPATE NINI?
10 years ago
GPL
SHOGA, CHAKULA ULE WEWE KWA NINI UWAKERE WENZAKO?
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Pinda anatafuta utajiri kwa kuuza embe, wewe unafanya nini? — (1)
10 years ago
Michuzi.jpg)
Sitti Tanzania Foundation inakuletea Chozi la Sitti 02.05.2015 @Mlimani City Conference Hall
.jpg)
Sitti Abbas Mtemvu, jina alilopewa kutoka kwa Bibi yake mzaa Baba, ambae nae wakati wa enzi zake alipewa jina hilo kutokana na umahiri wake wa kughani akifananishwa na msanii na mtunzi maarufu aliepata kutokea akiitwa Siti Binti Saad. Umahiri wa bibi ulimfanya kuwahi kushinda tuzo mbalimbali za sanaa wakati huo katika ukumbi maarufu wa burudani ulioitwa Anatoglou…….Nae alipozaliwa alipewa tunu, tunu ya jina la Sitti. Haya ni machache latika kitabu chake kipya kikiitwa – Chozi la Sitti……Kwa...