Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanzania unafanya nini sakata la Tegeta Escrow?

Kwa mara nyingine tena, Serikali ya Tanzania imeingia doa mbele ya wananchi wake pamoja na wahisani wa maendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SAKATA LA TEGETA ESCROW, WABUNGE WAKINUKISHA BUNGENI

Naibu Spika wa Bunge, Job Dungai, yeye ndiye kashikilia rungu, Ripoti " ijadiliwe au la". Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali, (PAC), Zitto Kabwe. Taarifa ya CAG kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow, iko mikononi mwake.…

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIO MAELEZO YA SERIKALI KUHUSU SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO

Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo.
TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA USOME TAARIFA KAMILI

 

10 years ago

GPL

SOMA TAARIFA YA PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO

Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo. TAARIFA YA WAZIRI WA NISHANI NA MADINI PROF.MUHONGO KUHUSIANA NA SAKATA LA IPTL NA TEGETA ESCROW ALIYOIWASILISHA BUNGENI LEO BONYEZA HAPA…

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda anatafuta utajiri kwa kuuza embe, wewe unafanya nini? — (1)

Siku hizi vijana wengi ambao wako tu mitaani bila shughuli wakidai kuwa hawana ajira.Hawa utawaona vijiweni ama wakizurura tu mitaani kuanzia asubuhi hadi jioni.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Fedha za Tegeta Escrow ni za IPTL

Rais Jakaya Kikwete amesema fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow hazikuwa zinafikia Sh306 bilioni, bali ni Sh202 bilioni na zilikuwa mali ya Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL.

 

10 years ago

TheCitizen

Tegeta escrow or just a scarecrow, you decide

As 2014 comes to a close, the word ‘escrow’ in Tanzania’s domain sounds like scarecrow -- thanks to Tegeta escrow account saga that has left our nation reeling and riveted.

 

10 years ago

Daily News

MPs up in arms over Tegeta escrow account


Daily News
MPs up in arms over Tegeta escrow account
Daily News
THE debate on the transfer of over 300bn/- from the Tegeta escrow account continued on Friday with Members of Parliament (MPs) giving varied opinions on the Public Accounts Committee resolutions on the matter. Speaking shortly after the morning ...

 

10 years ago

Vijimambo

Sethi:Tegeta Escrow namwachia Mungu

  Sitakubali kutaifishwa mitambo ya IPTL
  Akana kuangamiza Kanu KenyaMwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi
Wakati masikio ya Watanzania yakiwa yameelekezwa Ikulu kusikia maamuzi ya Rais Jakaya Kikwete juu ya maazimio manane yaliyotolewa na Bunge kuhusu sakata la uchotaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi, ameibuka na kudai kuwa...

 

11 years ago

GPL

UKAGUZI MAALUMU AKAUNTI YA TEGETA ESCROW

Katibu wa Kamati ya bunge ya hesabu za serikali (PAC), Zitto Kabwe. Hadidu rejea
1)      Kuchunguza uendeshaji wa mkataba wa kuzalisha Umeme kati ya kampuni ya IPTL na TANESCO
2)      Kuchunguza kama wakati escrow inafunguliwa kampuni ya mechmar ilikuwa inamiliki IPTL, kama ilikuwa imefilisiwa na kama ilikuwa imehamisha umiliki wake kwa kampuni ya PAP.
3)      Kuchunguza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani