Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sethi:Tegeta Escrow namwachia Mungu

  Sitakubali kutaifishwa mitambo ya IPTL
  Akana kuangamiza Kanu KenyaMwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi
Wakati masikio ya Watanzania yakiwa yameelekezwa Ikulu kusikia maamuzi ya Rais Jakaya Kikwete juu ya maazimio manane yaliyotolewa na Bunge kuhusu sakata la uchotaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi, ameibuka na kudai kuwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TUHUMA UGAIDI: ‘Namwachia Mungu suala la binti yangu’

>Wakati mama mzazi wa msichana anayedaiwa kutaka kujiunga na Kundi la Al-Shabaab, Tahliya Sadir akisema kuwa anamwachia Mungu suala la binti yake, babu na bibi yake wameonekana kushtushwa na taarifa hizo na kusema hawakuwahi kufikiria kama  mjukuu wao angethubutu kufanya uamuzi kama huo.

 

10 years ago

TheCitizen

Tegeta escrow or just a scarecrow, you decide

As 2014 comes to a close, the word ‘escrow’ in Tanzania’s domain sounds like scarecrow -- thanks to Tegeta escrow account saga that has left our nation reeling and riveted.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Fedha za Tegeta Escrow ni za IPTL

Rais Jakaya Kikwete amesema fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow hazikuwa zinafikia Sh306 bilioni, bali ni Sh202 bilioni na zilikuwa mali ya Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL.

 

10 years ago

Daily News

MPs up in arms over Tegeta escrow account


Daily News
MPs up in arms over Tegeta escrow account
Daily News
THE debate on the transfer of over 300bn/- from the Tegeta escrow account continued on Friday with Members of Parliament (MPs) giving varied opinions on the Public Accounts Committee resolutions on the matter. Speaking shortly after the morning ...

 

11 years ago

GPL

UKAGUZI MAALUMU AKAUNTI YA TEGETA ESCROW

Katibu wa Kamati ya bunge ya hesabu za serikali (PAC), Zitto Kabwe. Hadidu rejea
1)      Kuchunguza uendeshaji wa mkataba wa kuzalisha Umeme kati ya kampuni ya IPTL na TANESCO
2)      Kuchunguza kama wakati escrow inafunguliwa kampuni ya mechmar ilikuwa inamiliki IPTL, kama ilikuwa imefilisiwa na kama ilikuwa imehamisha umiliki wake kwa kampuni ya PAP.
3)      Kuchunguza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania unafanya nini sakata la Tegeta Escrow?

Kwa mara nyingine tena, Serikali ya Tanzania imeingia doa mbele ya wananchi wake pamoja na wahisani wa maendeleo.

 

10 years ago

Vijimambo

Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni

Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni kupitia hii link:http://www.cloudstv.com/#catalog/5824/clouds-tv
  Au sikiliza kwenye simu yako kupitiahttp://m.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio

 

10 years ago

Daily News

Tegeta Escrow probe, legal action to continue


IPPmedia
Tegeta Escrow probe, legal action to continue
Daily News
INVESTIGATIONS and eventually arraignment of all government officials implicated in Tegeta Escrow Account scandal would continue as planned, Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has said, insisting that nothing has been closed.
Prime Minister Mizengo PindaIPPmedia

all 2

 

10 years ago

Vijimambo

Mbinu kuwaokoa watuhumiwa wa Tegeta Escrow zafichuka

Leo ndiyo siku aliyopanga Rais Jakaya Kikwete kutoa uamuzi wake juu ya maazimio manane ya Bunge kuhusu kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow, ikiwagusa mawaziri wawili, katibu mkuu, majaji na wafanyabiashara kadhaa.

Wakati umma ukitarajia hayo kutoka kwenye hotuba ya rais kwa wazee wa Dar es Salaam, zimejiumba jumuiya ambazo hazijawahi kutokea nchini, moja ikijiita Jumuiya ya Wamachinga na nyingine Jumuiya ya Vijana Wanazuoni, kila moja ikipiga debe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani