Mbinu kuwaokoa watuhumiwa wa Tegeta Escrow zafichuka
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZJhlu85PcvA/TscxKQ847QI/AAAAAAAB4o0/UkkoQayEHXM/s72-c/a27.jpg)
Leo ndiyo siku aliyopanga Rais Jakaya Kikwete kutoa uamuzi wake juu ya maazimio manane ya Bunge kuhusu kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow, ikiwagusa mawaziri wawili, katibu mkuu, majaji na wafanyabiashara kadhaa.
Wakati umma ukitarajia hayo kutoka kwenye hotuba ya rais kwa wazee wa Dar es Salaam, zimejiumba jumuiya ambazo hazijawahi kutokea nchini, moja ikijiita Jumuiya ya Wamachinga na nyingine Jumuiya ya Vijana Wanazuoni, kila moja ikipiga debe...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen29 Dec
Tegeta escrow or just a scarecrow, you decide
10 years ago
Mwananchi23 Dec
JK: Fedha za Tegeta Escrow ni za IPTL
10 years ago
Daily News29 Nov
MPs up in arms over Tegeta escrow account
Daily News
Daily News
THE debate on the transfer of over 300bn/- from the Tegeta escrow account continued on Friday with Members of Parliament (MPs) giving varied opinions on the Public Accounts Committee resolutions on the matter. Speaking shortly after the morning ...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/ZITTOKABWEf.jpg?width=600)
UKAGUZI MAALUMU AKAUNTI YA TEGETA ESCROW
10 years ago
Vijimambo03 Dec
Sethi:Tegeta Escrow namwachia Mungu
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/IPTL--December3--2014.jpg)
Wakati masikio ya Watanzania yakiwa yameelekezwa Ikulu kusikia maamuzi ya Rais Jakaya Kikwete juu ya maazimio manane yaliyotolewa na Bunge kuhusu sakata la uchotaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi, ameibuka na kudai kuwa...
10 years ago
Daily News12 Dec
PCCB finales Tegeta Escrow account probe
Daily News
Daily News
PREVENTION and Combating of Corruption Bureau (PCCB) finalizing investigations regarding the Tegeta escrow account in which 300bn/- alleged to have been siphoned by high-ranking individuals. “We have so far worked on all sues of concern that were ...
10 years ago
Vijimambo26 Nov
Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni
Au sikiliza kwenye simu yako kupitiahttp://m.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Mtanzania unafanya nini sakata la Tegeta Escrow?
10 years ago
IPPmedia15 Jan
Two appear in Dar court over Tegeta escrow account saga
IPPmedia
IPPmedia
Tegeta Escrow Account scandal suspects Rugonzibwa Mujunangoma (L), and Engineer Theophillo Bwakea walk towards Kisutu Resident Magistrate�s Court in Dar es Salaam yesterday under armed escort. Two people yesterday appeared before Kisutu ...