Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbinu kuwaokoa watuhumiwa wa Tegeta Escrow zafichuka

Leo ndiyo siku aliyopanga Rais Jakaya Kikwete kutoa uamuzi wake juu ya maazimio manane ya Bunge kuhusu kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow, ikiwagusa mawaziri wawili, katibu mkuu, majaji na wafanyabiashara kadhaa.

Wakati umma ukitarajia hayo kutoka kwenye hotuba ya rais kwa wazee wa Dar es Salaam, zimejiumba jumuiya ambazo hazijawahi kutokea nchini, moja ikijiita Jumuiya ya Wamachinga na nyingine Jumuiya ya Vijana Wanazuoni, kila moja ikipiga debe...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Tegeta escrow or just a scarecrow, you decide

As 2014 comes to a close, the word ‘escrow’ in Tanzania’s domain sounds like scarecrow -- thanks to Tegeta escrow account saga that has left our nation reeling and riveted.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Fedha za Tegeta Escrow ni za IPTL

Rais Jakaya Kikwete amesema fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow hazikuwa zinafikia Sh306 bilioni, bali ni Sh202 bilioni na zilikuwa mali ya Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL.

 

10 years ago

Daily News

MPs up in arms over Tegeta escrow account


Daily News
MPs up in arms over Tegeta escrow account
Daily News
THE debate on the transfer of over 300bn/- from the Tegeta escrow account continued on Friday with Members of Parliament (MPs) giving varied opinions on the Public Accounts Committee resolutions on the matter. Speaking shortly after the morning ...

 

11 years ago

GPL

UKAGUZI MAALUMU AKAUNTI YA TEGETA ESCROW

Katibu wa Kamati ya bunge ya hesabu za serikali (PAC), Zitto Kabwe. Hadidu rejea
1)      Kuchunguza uendeshaji wa mkataba wa kuzalisha Umeme kati ya kampuni ya IPTL na TANESCO
2)      Kuchunguza kama wakati escrow inafunguliwa kampuni ya mechmar ilikuwa inamiliki IPTL, kama ilikuwa imefilisiwa na kama ilikuwa imehamisha umiliki wake kwa kampuni ya PAP.
3)      Kuchunguza na...

 

10 years ago

Vijimambo

Sethi:Tegeta Escrow namwachia Mungu

  Sitakubali kutaifishwa mitambo ya IPTL
  Akana kuangamiza Kanu KenyaMwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi
Wakati masikio ya Watanzania yakiwa yameelekezwa Ikulu kusikia maamuzi ya Rais Jakaya Kikwete juu ya maazimio manane yaliyotolewa na Bunge kuhusu sakata la uchotaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi, ameibuka na kudai kuwa...

 

10 years ago

Daily News

PCCB finales Tegeta Escrow account probe


Daily News
PCCB finales Tegeta Escrow account probe
Daily News
PREVENTION and Combating of Corruption Bureau (PCCB) finalizing investigations regarding the Tegeta escrow account in which 300bn/- alleged to have been siphoned by high-ranking individuals. “We have so far worked on all sues of concern that were ...

 

10 years ago

Vijimambo

Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni

Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni kupitia hii link:http://www.cloudstv.com/#catalog/5824/clouds-tv
  Au sikiliza kwenye simu yako kupitiahttp://m.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania unafanya nini sakata la Tegeta Escrow?

Kwa mara nyingine tena, Serikali ya Tanzania imeingia doa mbele ya wananchi wake pamoja na wahisani wa maendeleo.

 

10 years ago

IPPmedia

Two appear in Dar court over Tegeta escrow account saga


IPPmedia
Two appear in Dar court over Tegeta escrow account saga
IPPmedia
Tegeta Escrow Account scandal suspects Rugonzibwa Mujunangoma (L), and Engineer Theophillo Bwakea walk towards Kisutu Resident Magistrate�s Court in Dar es Salaam yesterday under armed escort. Two people yesterday appeared before Kisutu ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani