Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania waruhusiwa kuuza mahindi nje

SERIKALI imewaruhusu Watanzania kununua mahindi nje ya nchi bila vikwazo vyovyote kutokana na kuwepo na ziada ya chakula nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Kilimo, Chakula na...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kuuza mahindi Kenya tani 50,000 za mahindi

Serikali ipo katika hatua za mwisho za makubaliano ya kuuza tani 50,000 za awali za mahindi nchini Kenya.

 

11 years ago

Habarileo

Milango wazi kwa wakulima kuuza nafaka nje

MKURUGENZI Idara ya Usalama wa Chakula, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Karim Mtambo amesema milango iko wazi kwa wakulima na wafanyabiashara wanaotaka kuuza chakula nje ya nchi. Alisema hayo jana wakati wa mkutano na vikundi vya kilimo uliofanyika mjini hapa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara ‘stop’ kuuza mahindi

Serikali imeiagiza Mamlaka ya Hifadhi ya Chakula ya Taifa (NFRA), kuacha kununua mahindi kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa, badala yake iwape kipaumbele wakulima ambao ndiyo walengwa wakubwa wa soko hilo.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Tanzania kuuza mahindi Kenya


NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SERIKALI imeruhusu  wafanyabishara  nchini  kuuza mahindi zaidi ya tani 200,000 nchini Kenya.,  ili kukabiliana na upungufu wa chakula uliopo nchini humo kwa sasa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Sophia Kaduma, aliyasema hayo mjini hapa jana, wakati akitia saini makubaliano hayo na Katibu Mkuu wa Kilimo wa Kenya, Sicly Kariuki.
Alisema uamuzi huo unatokana na ombi la Serikali ya Kenya, kuuziwa mahindi meupe kutokana na upungufu mkubwa wa chakula...

 

11 years ago

Mwananchi

NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA), Charles Walwa amesema wakala huyo atauza tani 75,000 za mahindi zilizonunuliwa mwaka jana na kununua tani nyingine 200,000 katika msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ruksa kuuza bidhaa India bila kulipia ushuru

>Wafanyabiashara nchini wamehamasishwa kuchangamkia na kuzitumia fursa maalumu za  upendeleo kwa kufanya biashara nchini India bila kulipia ushuru.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wa mahindi waandamana

WAKULIMA wa mahindi wilayani hapa, Mkoa wa Mbeya wameandamana hadi ofisi ya Mkuu wa Wilaya ili kujua hatma ya ununuzi wa mahindi yao. Wakizungumza na Tanzania Daima, wakulima hao walisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Bei za mahindi, nyanya zawatesa wakulima

Wakulima wa nyanya na nafaka wa Tarafa ya Mazombe wamelalamikia kushuka kwa bei ya mazao hayo, huku pembejeo zikizidi kupanda bei.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani