Ruksa kuuza bidhaa India bila kulipia ushuru
>Wafanyabiashara nchini wamehamasishwa kuchangamkia na kuzitumia fursa maalumu za upendeleo kwa kufanya biashara nchini India bila kulipia ushuru.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Mramba, Yona ruksa kwenda India kutibiwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imetoa kibali kwa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini, Daniel Yona kwenda India kutibiwa maradhi, ambayo hawakuyataja mahakamani hapo.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Katomu Solar kuuza bidhaa kwa mtandao
“KAMPUNI yangu kwa sasa inatoa huduma ambazo ni za kisasa na zenye uhakika kwa kuwapelekea bidhaa wateja hadi majumbani mwao bila kujali umbali wa mahali anapoishi kutoka katika maduka yetu...
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Familia ya Bob Marley kuuza bidhaa za Bangi
9 years ago
StarTV13 Nov
Serikali yakamilisha mchakato kimataifa Kuuza Nje Bidhaa Zinazosindikwa
Serikali inakamilisha mchakato wa kuingia katika biashara ya kimataifa kwa kuuza nje ya nchi bidhaa za kilimo zinazosindikwa nchini badala ya kuuza ghafi.
Katika kukamilisha hilo, wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, utalii na usindikaji wa ndani na nje ya nchi wameshiriki mkutano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkutano wa siku moja uliofanyika Dar es Salaam, umejadili fursa na tija mbalimbali za biashara ya kimataifa kwa nchi masikini na zinazoendelea, ikiwemo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVrNg0N9RdyYcwvnAm*IZVYxuEtVBaP5z0Cvg2y87NE-9VFV5IXgWPk1ohmI4fI0rx61*x0oZnywXzdTggTyLygs/flora.jpg?width=650)
FLORA MVUNGI AKIRI KUUZA NYAGO BILA MALIPO
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Ni aibu Kenya, India kuuza Tanzanite nyingi
SI jambo la kufurahia hata kidogo taarifa za Kenya na India kuizidi Tanzania katika mauzo ya vito aina ya Tanzanite nje ya nchi. Tunasema si jambo la kufurahia kwakuwa Tanzania...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Tigo yadhamini uzinduzi wa Rocky City Mall: Kufanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali Mwanza
Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa, Beatrice Kinabo, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Mwanza jana, ambapo jengo la kimataifa la biashara(Rock City Mall) limekamilika na Tigo watafanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali,kushoto ni Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa Mwanza City Commercial Complex Company Limited Joseph Mlinzi na kulia ni Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry.
Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry, akizungumza na waandishi wa habari...
5 years ago
MichuziSerikali Imewataka wanaouza Bidhaa za Kujikinga dhidi ya Covid-19, Kuuza kwa Bei iliyoko Sokoni
======== ======== =======
Serikali kupitia...