Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni aibu Kenya, India kuuza Tanzanite nyingi

SI jambo la kufurahia hata kidogo taarifa za Kenya na India kuizidi Tanzania katika mauzo ya vito aina ya Tanzanite nje ya nchi. Tunasema si jambo la kufurahia kwakuwa Tanzania...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

India, Kenya zinauzaje Tanzanite nyingi kuliko Tanzania?

NI suala rahisi kulielewa lakini ni gumu kuliamini. Habari kuwa Kenya na  India zinaizidi Tanzania katika mauzo ya vito aina ya Tanzanite nje ya nchi ni rahisi kuilielewa kwa sababu linahusisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni aibu India kuipiku Tanzania kwa uuzaji Tanzanite

Taarifa kwamba nchi za Kenya na India zimeipita kwa mbali Tanzania kwa kusafirisha madini ya Tanzanite yanayopatikana hapa nchini pekee na kuyauza katika soko la dunia ni jambo ambalo siyo rahisi kuliamini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kenya, India wanatuzidi mauzo ya Tanzanite?

Kama kuna jambo ambalo limewaacha wananchi wengi katika mfadhaiko mkubwa ni habari kwamba nchi za Kenya na India zimeipita Tanzania kwa mbali kwa kusafirisha na kuuza katika soko la dunia, madini ya Tanzanite ambayo yanapatikana hapa nchini pekee.

 

10 years ago

Mwananchi

Kenya, India zaipiku Tanzania mauzo ya tanzanite

>Nchi za Kenya na India zimeipita kwa mbali Tanzania kwa kusafirisha na kuuza katika soko la dunia, madini ya tanzanite ambayo yanapatikana hapa nchini pekee.

 

9 years ago

Habarileo

Watu 23 wakamatwa kwa kuuza holela tanzanite

ZAIDI ya wafanyabiashara 23 wa madini aina ya Tanzanite wamekamatwa na kutozwa faini kwa kufanya biashara bila ya kuwa na leseni katika Mji wa Mererani wilayani Simanjiro na kwenye mitaa ya Jiji la Arusha .

 

10 years ago

Raia Tanzania

Aibu Tanzania kuuza malighafi nje

MATAIFA mengi Afrika yanapambana kupiga hatua kufikia uchumi mkubwa na kuachana na utegemezi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea huku Tanzania ikiendelea na dhana kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.

Katikati ya wiki, mchumi wa kimataifa aliyepata kufanya kazi Benki ya Dunia, Profesa Justin Yifu Li kutoka China, alisema jijini Dar es Salaam kwamba umasikini si majaaliwa Afrika, bali ni janga linalohitaji kuondolewa haraka kwa kuwekeza kwenye viwanda.

Alisema si lazima mataifa...

 

9 years ago

Habarileo

Anayenunua shahada hawezi kuona aibu kuuza haki

WANANCHI wametakiwa siku ya kupiga kura kuwa macho na watu wanaoweza kwenda kuwanunua kwa kuwagawia fedha wabadilishe msimamo wao. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na maelfu ya watu.

 

11 years ago

Bongo5

Video:Diamond asema BET imempa connection nyingi, ‘ukiacha kuuza muziki kollabo ni kitu ambacho kinasaidia’

Msanii wa muziki Nasib Abdul aka Diamond Platinum amesema kuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo za BET nchini Marekani kimempa connection nyinyi za kimuziki pamoja na kollabo ambazo zinaweza zikasaidia zaidi. Akizungumza na waandishi jijini Dar es salaam jana baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K Nyerere akitokea Marekani, Diamond alisema amepata […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Trump afichwa maeneo ya aibu India

Ziara ya Trump: Serikali ya India yaficha aibu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani