Aibu Tanzania kuuza malighafi nje
MATAIFA mengi Afrika yanapambana kupiga hatua kufikia uchumi mkubwa na kuachana na utegemezi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea huku Tanzania ikiendelea na dhana kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.
Katikati ya wiki, mchumi wa kimataifa aliyepata kufanya kazi Benki ya Dunia, Profesa Justin Yifu Li kutoka China, alisema jijini Dar es Salaam kwamba umasikini si majaaliwa Afrika, bali ni janga linalohitaji kuondolewa haraka kwa kuwekeza kwenye viwanda.
Alisema si lazima mataifa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Jul
Ch*chu nje nje: Huddah apost picha za aibu kwenye Instagram!
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Ni aibu Kenya, India kuuza Tanzanite nyingi
SI jambo la kufurahia hata kidogo taarifa za Kenya na India kuizidi Tanzania katika mauzo ya vito aina ya Tanzanite nje ya nchi. Tunasema si jambo la kufurahia kwakuwa Tanzania...
9 years ago
Habarileo04 Oct
Anayenunua shahada hawezi kuona aibu kuuza haki
WANANCHI wametakiwa siku ya kupiga kura kuwa macho na watu wanaoweza kwenda kuwanunua kwa kuwagawia fedha wabadilishe msimamo wao. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na maelfu ya watu.
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Ulimwengu: Ni aibu kwenda kutibiwa nje
MCHAMBUZI wa masuala ya siasa na kijamii, Jenerali Ulimwengu, amesema ni kitendo cha aibu kwa viongozi wa Bara Afrika kwenda kutibiwa nje ya nchi magonjwa madogo ambayo yangeweza kutibiwa katika...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Watanzania waruhusiwa kuuza mahindi nje
SERIKALI imewaruhusu Watanzania kununua mahindi nje ya nchi bila vikwazo vyovyote kutokana na kuwepo na ziada ya chakula nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Kilimo, Chakula na...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Milango wazi kwa wakulima kuuza nafaka nje
MKURUGENZI Idara ya Usalama wa Chakula, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Karim Mtambo amesema milango iko wazi kwa wakulima na wafanyabiashara wanaotaka kuuza chakula nje ya nchi. Alisema hayo jana wakati wa mkutano na vikundi vya kilimo uliofanyika mjini hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYrpAqN*YDCFjGTuZzRw45Y0pwQJkgKMICqREdyOxRsgtLEuy5SsIsgrFrIYun*CWYlVaEmpvxU3a*D377maPFJ/shamkupe.jpg?width=650)
AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Wadau wa kilimo EAC walilia kuuza mazao nje ya nchi