Milango wazi kwa wakulima kuuza nafaka nje
MKURUGENZI Idara ya Usalama wa Chakula, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Karim Mtambo amesema milango iko wazi kwa wakulima na wafanyabiashara wanaotaka kuuza chakula nje ya nchi. Alisema hayo jana wakati wa mkutano na vikundi vya kilimo uliofanyika mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Jurgen Klopp: Milango ipo wazi Steven Gerrard
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool, Steven Gerrard.
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.
Na Rabi Hume
Siku moja baada ya kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya Marekani, Steven Gerrard kuweka wazi mipango yake ya kutaka kustafu soka 2016, Kocha wa klabu yake ya zamani ya Liverpool, Jurgen Klopp amemwambia mchezaji huyo milango ya kiungo huyo kujiunga na Liverpool iko wazi.
Klopp amesema...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
NDANI YA HABARI: ‘Tuliacha milango wazi kumsubiri Merry’
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mchungaji jela miaka minne kwa kuuza watu nje
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Jan
Mkurugenzi Moshi atuhumiwa kuuza eneo la wazi
KIKAO cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, kimevunjika baada ya kumtuhumu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Shaaban Mtarambe kuuza eneo la wazi la umma lenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 1.5.
10 years ago
VijimamboMAJAJI WAENDESHA MAHAKAMA YA WAZI KUSIKILIZA NA KUPOKEA MALALAMIKO YA WAKULIMA
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Aibu Tanzania kuuza malighafi nje
MATAIFA mengi Afrika yanapambana kupiga hatua kufikia uchumi mkubwa na kuachana na utegemezi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea huku Tanzania ikiendelea na dhana kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.
Katikati ya wiki, mchumi wa kimataifa aliyepata kufanya kazi Benki ya Dunia, Profesa Justin Yifu Li kutoka China, alisema jijini Dar es Salaam kwamba umasikini si majaaliwa Afrika, bali ni janga linalohitaji kuondolewa haraka kwa kuwekeza kwenye viwanda.
Alisema si lazima mataifa...