Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milango wazi kwa wakulima kuuza nafaka nje

MKURUGENZI Idara ya Usalama wa Chakula, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Karim Mtambo amesema milango iko wazi kwa wakulima na wafanyabiashara wanaotaka kuuza chakula nje ya nchi. Alisema hayo jana wakati wa mkutano na vikundi vya kilimo uliofanyika mjini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jurgen Klopp: Milango ipo wazi Steven Gerrard

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa  ya Wingereza na Liverpool, Steven Gerrard

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool, Steven Gerrard.

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.

Na Rabi Hume

Siku moja baada ya kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya Marekani, Steven Gerrard kuweka wazi mipango yake ya kutaka kustafu soka 2016, Kocha wa klabu yake ya zamani ya Liverpool, Jurgen Klopp amemwambia mchezaji huyo milango ya kiungo huyo kujiunga na Liverpool iko wazi.

Klopp amesema...

 

11 years ago

Mwananchi

NDANI YA HABARI: ‘Tuliacha milango wazi kumsubiri Merry’

>Tukio la mtoto Merryn Reppyson (4)  kutekwa kwa siku nane ni kama hadithi katika filamu ambayo inaweza kuchukua siyo chini ya saa tatu  kuhadithia. Ni hadithi ya kustaajabisha mithili ya sinema, lakini si ya kusadikika; ni ya kweli. Mtoto huyo aliibwa na swahiba mkubwa wa baba yake nyumbani kwao Changanyikeni na kwenda kufichwa Tandale kwa Mtogole.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji jela miaka minne kwa kuuza watu nje

Mchungaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Jean Bamana amehukumiwa kwenda jela miaka minne baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh10 milioni kwa kosa la kujihusisha na biashara ya kusafirisha binadamu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mkurugenzi Moshi atuhumiwa kuuza eneo la wazi

KIKAO cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, kimevunjika baada ya kumtuhumu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Shaaban Mtarambe kuuza eneo la wazi la umma lenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 1.5.

 

10 years ago

Vijimambo

MAJAJI WAENDESHA MAHAKAMA YA WAZI KUSIKILIZA NA KUPOKEA MALALAMIKO YA WAKULIMA

Jaji Mh. Richard Mziray Akitoa Hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Aibu Tanzania kuuza malighafi nje

MATAIFA mengi Afrika yanapambana kupiga hatua kufikia uchumi mkubwa na kuachana na utegemezi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea huku Tanzania ikiendelea na dhana kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.

Katikati ya wiki, mchumi wa kimataifa aliyepata kufanya kazi Benki ya Dunia, Profesa Justin Yifu Li kutoka China, alisema jijini Dar es Salaam kwamba umasikini si majaaliwa Afrika, bali ni janga linalohitaji kuondolewa haraka kwa kuwekeza kwenye viwanda.

Alisema si lazima mataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani