Mkurugenzi Moshi atuhumiwa kuuza eneo la wazi
KIKAO cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, kimevunjika baada ya kumtuhumu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Shaaban Mtarambe kuuza eneo la wazi la umma lenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 1.5.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Dec
Diwani atuhumiwa kuuza maji wilaya jirani
WANANCHI wa kijiji cha Manghweta kata ya Chamkoroma wilaya ya Kongwa mkoa wa Dodoma wamemshutumu diwani wao, Daimon Mdumbe kwa kuuza maji katika wilaya jirani wakati wao wakinywa maji kutoka kwenye makorongo.
11 years ago
Habarileo15 Jun
Mkurugenzi atuhumiwa kukanyaga mboga
BAADHI ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wamelaani kitendo cha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime mkoani Mara, Venance Mwamengo cha kukanyanga kwa gari bidhaa walizokuwa wakiuza nje ya Soko Kuu la Tarime.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9HudRkojAM/VlvOkS3fijI/AAAAAAAAXKc/YnWE5FZD95c/s72-c/IMG_9794%2B%25281024x683%2529.jpg)
AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAKABIDHI VIFAA YA KUFANYIA USAFI KWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f9HudRkojAM/VlvOkS3fijI/AAAAAAAAXKc/YnWE5FZD95c/s640/IMG_9794%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MJyozD6dt30/VlvN7sPQ6tI/AAAAAAAAXKM/c1CJBF3TWZM/s640/IMG_9788%2B%25281024x683%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo21 Mar
Milango wazi kwa wakulima kuuza nafaka nje
MKURUGENZI Idara ya Usalama wa Chakula, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Karim Mtambo amesema milango iko wazi kwa wakulima na wafanyabiashara wanaotaka kuuza chakula nje ya nchi. Alisema hayo jana wakati wa mkutano na vikundi vya kilimo uliofanyika mjini hapa.
11 years ago
MichuziWENYE BUCHA MOSHI WAGOMA KUUZA NYAMA KWA SIKU MBILI
Globu ya Jamii, Moshi
WAKAZI wa mji Manispaa ya Moshi, wametaabika kwa siku mbili sasa wakiwa hawapati kitoweo cha Nyama baada ya halmashauri ya manispaa hiyo na mamlaka ya udhibiti wa Chakula na dawa TFDA kuyafunga maduka ya nyama ambayo hayakidhi vigezo vya afya.
Katika hali inayoonesha kuwapo kwa mgomo wa wauza...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Mkurugenzi ampinga meya eneo la shule kuwa makaburi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIItuHl8V5U/XqBMAVj-J0I/AAAAAAALn1Y/DoZ7gXc8tY8Y0ygI40tnP3QkiBEWK_DLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0122.jpg)
WATOTO WAMJIA JUU BABA YAO MZAZI BAADA YA KUTAKA KUUZA ARDHI YAKE ILIYOKO ENEO LA KIJENGE JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza ,ARUSHA
MGOGORO wa kugombea mali ikiwemo ardhi na majengo umeibuka katika familia ya Mzee Saimon Kamakia mara baada ya watoto wa mzee huyo kumtuhumu baba yao kutaka kuwapora ardhi ambayo waliachiwa urithi baada ya marehemu mama yao, kufariki dunia.
Kuibuka kwa mgogoro huo umeonekana umevuta hisia za wakazi wa eneo la Kijenge na ndani ya Jiji la Arusha na umesababisha kuvuruga amani ndani ya familia hiyo.
Baadhi ya watoto wa Mzee Kamakia akiwemo Nusin Kamakia walidai hatua ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xTpnHTuV5KY/Xs044OrwCbI/AAAAAAALrpk/p51iU9kdI_0GRNYrZWrov7yXr_6u3TbgQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-26-17h26m52s195.png)
Wananchi wawajia juu wenzao kwa kuuza eneo la kijiji lililotengwa kwa ajili ya Kilimo na Ufugaji
Wananchi wa vijiji vya kata ya Itulahumba halmashauri ya wilaya ya Wangingombe mkoani Njombe kwa pamoja wamepinga kitendo kinachofanywa na baadhi ya wananchi wenzao kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji hicho kuuza eneo ambalo limetengwa kijijini hapo kwaajili ya ufugaji na kilimo.
Eneo hilo lenye ukubwa wa zaidi ekari 80 ambalo limeanza kukatwa miti na kulimwa bila makubaliano ya kamati za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zaigNOsDHlhzLiMuJPz58QDZWKXryVA6uinQDvhLiDD8ZirFm5j7PfyLvw4Jjk*z1AWh5nZiXLTrYaWlIb627p9/IMG20141204WA0006.jpg?width=650)
MKURUGENZI GLOBAL AHUDHURIA MAZISHI YA MKWEWE MOSHI