Wananchi wawajia juu wenzao kwa kuuza eneo la kijiji lililotengwa kwa ajili ya Kilimo na Ufugaji
![](https://1.bp.blogspot.com/-xTpnHTuV5KY/Xs044OrwCbI/AAAAAAALrpk/p51iU9kdI_0GRNYrZWrov7yXr_6u3TbgQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-26-17h26m52s195.png)
Na Amiri kilagalila,Njombe
Wananchi wa vijiji vya kata ya Itulahumba halmashauri ya wilaya ya Wangingombe mkoani Njombe kwa pamoja wamepinga kitendo kinachofanywa na baadhi ya wananchi wenzao kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji hicho kuuza eneo ambalo limetengwa kijijini hapo kwaajili ya ufugaji na kilimo.
Eneo hilo lenye ukubwa wa zaidi ekari 80 ambalo limeanza kukatwa miti na kulimwa bila makubaliano ya kamati za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HPxlxxyUMg0/VP77row25QI/AAAAAAAHJVs/U7wThD17H9U/s72-c/001.DAMU.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WACHANGIA DAMU KWA AJILI YA WATANZANIA WENZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HPxlxxyUMg0/VP77row25QI/AAAAAAAHJVs/U7wThD17H9U/s1600/001.DAMU.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nIkspUYqMT0/VP77riJqe_I/AAAAAAAHJVo/zoqmytV3zdY/s1600/002.DAMU.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQ6t7FO8pTWDBL-rrkBIDH8nqk3B9c7WMqr00NUnUum4W3MoX7uLsXJITkNm7HIuryXe9x78dUIIaq3ylp4yQNw/002.DAMU.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WACHANGIA DAMU KWA AJILI YA WATANZANIA WENZAO
10 years ago
Habarileo31 Jan
JKT waagizwa kujitegemea kwa kilimo, ufugaji
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi ametaka vikosi vya jeshi la Kujenga Taifa kujitegemea katika ufugaji na kilimo, ili kutoa fursa kwa vijana kutambua kwamba kilimo ndio kinachoweza kuwatoa katika umaskini.
10 years ago
Vijimambo30 Jun
UTT-PID NA SUMA JKT KUJENGA NYUMBA ZA KISASA KWA AJILI YA KUUZA
![](http://i2.wp.com/dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2015-06-26-15.13.03.jpg?resize=768%2C432)
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa askari...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Kukosekana kwa Daraja katika Mto Saiwa wa kijiji cha Minyughe, kwawa kero kwa wananchi
Diwani mteule (CCM) kata ya Minyughe (wa tatu kushoto mwenye suti ya bluu) Samweli Daniel Sadiki, pamoja na wakazi wa kijiji cha Minyughe,wakiangalia gari aina ya fuso T.662 CBB la kampuni ya Pepsi lililosombwa na maji ya mvua katika mto Saiwa.
Gari aina na fuso T.662 CBB la kampuni ya Pepsi mjini Singida, likiwa limeangushwa na kusombwa na maji ya mvua katika mto Saiwa wa kijiji cha Minyughe wilaya ya Ikungi. Gari lililokuwa linasambaza soda katika vijiji vya kata ya Minyughe lipo mtoni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG8IiU4ts1rWhIDZYu0Au3gjNNON9xKODLtR*bmajGGeAcZnFCWSnCHSSUtY7DBVrznL1VExTdwKJZfyJ66-FerU/unnamed28.jpg?width=650)
MKOA WA DODOMA UMEPOKEA NAKALA 61,290 ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA AJILI YA KUZIGAWA KWA WANANCHI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wOxSNW6ydfM/UvsfEvGkGYI/AAAAAAAFMeY/JCW_6J-d72c/s72-c/unnamed+(80).jpg)
KAMISHNA MSAIDIZI WA POLISI SUZAN KAGANDA ATOA VITENGE 15 NA TSHS. 100,000/= KWA AJILI YA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU WILAYANI KONGWA