UTT-PID NA SUMA JKT KUJENGA NYUMBA ZA KISASA KWA AJILI YA KUUZA
Mtendaji Mkuu wa UTT-PID, Dr. Gration Kamugisha (kushoto) akipeana mikono na Mkurugenzi Mkuu Lt-Colonel, Felix Samillan baada ya kutiliana saini ya mkataba wa kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma mradi unaotarajiwa kujengwa Chalinze
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa askari...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Jul
UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma
![2015-06-26 15.13.03](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2015-06-26-15.13.03.jpg)
Na Mwandishi WetuTaasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa...
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa maofisa wa jeshi na umma nchini
Mtendaji Mkuu wa UTT-PID, Dr. Gration Kamugisha (kushoto) akipeana mikono na Mkurugenzi Mkuu Lt-Colonel, Felix Samillan baada ya kutiliana saini ya mkataba wa kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma mradi unaotarajiwa kujengwa Chalinze
10 years ago
Vijimambo01 Jul
UTT-PID NA SUMA JKT KUJENGA NYUMBA ZA KISASA ZA KUUZA LWA MAAFISA WA JESHI NA UMMA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F06%2F2015-06-26-15.13.03.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi WetuTaasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na...
10 years ago
Dewji Blog11 May
Bodi ya UTT-PID na Menejimenti yake ilipozuru China kwa ziara ya siku 5 ya kujenga uzoefuu yafana
Bodi ya taasisi ya UTT-PID na Menejimenti yake wakia katika picha ya pamoja na uongozi wa kampuni ya Chengdu Engineering Corporation wakati wa picha ya pamoja. Waliosimama mbele (wa pili kutoka kulia) ni mjumbe wa bodi Bi. Janeth Mmari, akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu wa UTT-PID, Dr. Gration Kamugisha, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya UTT-PID, Mrs Elpina Mlaki. Wengine ni wajumbe wa bodi hiyo ya UTT-PID pamoja na wenyeji wao wa nchini humo
Na Mwandishi Maalum
Bodi ya Taasisi ya Miradi...
11 years ago
MichuziBenki ya wanawake, SUMA JKT kuanzisha kilimo cha kisasa ya umwagiliaji
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wanawake, Bi.Margareth Chacha, amewaambia waandishi wa habari hivi karibuni kuwa ubia huo pia utawanufaisha sana wakulima wadogo wadogo ambao wanayazunguka maeneo ya JKT kwani mazao yao watayauza kwa JKT.
“Makubaliano haya ni hatua...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!
Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki (kushoto) na Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) inafanya miradi mbalimbali ikiwemo huduma za uuzwaji wa viwanja katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fVv8FZ-DjeQ/VVHmhTUETbI/AAAAAAAHW0k/iJTKmYhhWMc/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Waziri Mwandosya atembelea Mradi wa nyumba 13 za kisasa kwa ajili ya Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Rungwe Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-fVv8FZ-DjeQ/VVHmhTUETbI/AAAAAAAHW0k/iJTKmYhhWMc/s640/unnamed%2B(46).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xvy15oBdi3Q/VImAH2R5UlI/AAAAAAAG2gw/d-Qc6GFVkjs/s72-c/unnamed..jpg)
UTT-PID YATOA HATI YA VIWANJWA KWA WATEJA WAKE
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametoa rai kwa Taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali kuona umuhimu wa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika shughuli za upimaji ardhi ili kuwaepusha na adha zinazoweza kuwapata pale yanapotokea maafa.
Hayo alisema mjini hapa siku Desemba 8, wakati wa ufunguzi wa mradi na ugawaji wa hati kwa wanunuzi wa Viwanja katika Kijiji cha Mapinga- Bagamoyo ulioratibiwa na Taasisi ya Maendeleo ya Miundombinu chini ya Dhamana...
9 years ago
StarTV08 Oct
NHC yashauriwa kujenga nyumba za kisasa pembezoni mwa miji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete amewashauri watendaji wa shirika la nyumba kuwa wabunifu kwa kujenga nyumba zenye hadhi ya juu pembezoni mwa mji ili kupunguza msongamano katikati ya jiji la Dar Es Salaam.
Pia amelitaka shirika la nyumba la taifa kujiunga na mkongo wa taifa ili kuweza kufanya shughuli zake kupitia mtandao na kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa watanzania.
Akiweka jiwe la msingi kwenye mradi wa Morroco Square, ulio chini ya shirika la...