Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTT-PID YATOA HATI YA VIWANJWA KWA WATEJA WAKE

NA  ANDREW CHALE, BAGAMOYO
NAIBU  Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametoa rai kwa Taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali kuona umuhimu wa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika shughuli za upimaji ardhi ili kuwaepusha na adha zinazoweza kuwapata pale yanapotokea maafa.
Hayo alisema mjini hapa siku Desemba 8, wakati wa ufunguzi wa mradi na ugawaji wa hati kwa wanunuzi wa  Viwanja katika Kijiji cha Mapinga- Bagamoyo ulioratibiwa na Taasisi ya Maendeleo ya Miundombinu chini ya Dhamana...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) YATOA HATI ZA VIWANJA KWA WATEJA WAKE

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki  ya Wanawake  Tanzania (TWB), Magareth Chacha  (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichai) wakati wa hafla ya kukabidhi hati za viwanja kwa wateja walionunua na waliomaliza kulipa mikopo yao, Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Aaron Nyanda na Mwanasheria wa Ardhi Plan Ltd, Musa Maghimbi. (Picha na Francis Dande)   Mkurugenzi Mtendaji wa Benki  ya Wanawake  Tanzania (TWB), Magareth Chacha  (wa pili kushoto) akimkabidhi...

 

10 years ago

Dewji Blog

UTT PID yatoa huduma za uuzwaji wa fomu za viwanja vyake kwa Wananchi wanaotembelea maonesho ya 39 ya Sabasaba

DSC_1257Afisa Masoko Bi.Kilave Atenaka   akitoa maelezo kwa mmoja wa  wananchi waliotembelea kwenye banda hilo lililopo jirani ya kuingia katika banda kubwa la Ukumbi wa Karume

Na Mwandishi Wetu

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) ipo kwenye Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam, yanayoendelea katika mabanda ya Saba saba katika  viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa jijini.

Banda la UTT PID lipo  jirani na kuingia katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!

1 (1)

Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki  (kushoto) na  Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID)  inafanya miradi mbalimbali ikiwemo  huduma za uuzwaji wa viwanja katika...

 

5 years ago

Michuzi

RAHA LIQUID TELECOM YATOA SULUHISHO KWA WATEJA WAKE

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

RAHA Liquid Telecom inayojihusisha na utoaji wa huduma ya intanet imesema katika kipindi hiki ambacho Dunia inaendelea kupambana dhidi ya virusi vya Corona, wao wanaongozwa na imani kila mtu kwenye Bara la Afrika ana haki ya kuungwanishwa na huduma ya intanet

Imesema kadri zinapochukuliwa hatua dhidi ya maambukuzi ya COVID-19 (Coronavirus), wanakumbuka mahitaji yanayoongezeka na hivyo mtandao wa uhakika na uwezo wa kufanya kazi majumbani, kujifunza na matumizi ya...

 

11 years ago

GPL

TIGO YATOA MILIONI 400 KWA WATEJA WAKE‏

Nuru Staford, mkazi wa Tabata ambaye ni  mmoja wa washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya Tigo 'Shinda kitita na Tigo Pesa' akipokea mfano wa hundi ya Sh. milioni 2 kutoka kwa Mratibu wa Promosheni wa Tigo Pesa, Mary Rutta leo jijini Dar es Salaam. Kufikia leo Tigo imeshatoa jumla ya shilingi milioni 400 kwa wateja wake 1,215 waliokwisha shinda na promosheni hii.
Mkazi wa Tazara, Nassoro Yusuphu,… ...

 

10 years ago

Vijimambo

UTT-PID NA SUMA JKT KUJENGA NYUMBA ZA KISASA KWA AJILI YA KUUZA

Mtendaji Mkuu wa UTT-PID, Dr. Gration Kamugisha (kushoto) akipeana mikono na Mkurugenzi Mkuu Lt-Colonel, Felix Samillan baada ya kutiliana saini ya mkataba wa kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma mradi unaotarajiwa kujengwa Chalinze
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa askari...

 

10 years ago

Michuzi

LG YATOA ZAWADI MBALIMBALI KWA WATEJA WAKE WAKATI WA SIKUKUU YA SABASABA

Mkufunzi mwandamizi toka kampuni ya LG, Elizabeth Morris, (Kulia) akimpa mkono na Bw. Festo Sakaya (kushoto) baada ya mteja huyo kujinunulia friji la kisasa ndani ya banda lao la maonyesho ya Sabasaba ambapo baada ya kufanya manunuzi alizawadiwa microwave ya bure, ya LG. Kampuni hiyo ipo kwenye promosheni ya punguzo la bidhaa zake kwa asilimia 15 kwa msimu huu wa sabasaba na ramadhani. Katikati ni meneja wa tawi la LG Mtaa wa Nkurumah Bw. Yasin Lodhi. Mkufunzi mwandamizi toka kampuni ya LG,...

 

10 years ago

Michuzi

ECOBANK TANZANIA YATOA ZAWADI KWA WATEJA WAKE SIKU YA WAPENDANAO

Mkuu wa Teller wa Benki ya Ecobank, Tawi la Mwenge, Tusekile Mwakyembe (kulia) akikabidhi zawadi Lucas Mosha siku ya wapendanao akiwa ni mmoja wa wateja wa mwanzo wa tawi hilo alipofika kupatiwa huduma jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Benki hiyo ilitoa zawadi kwa wateja wake wa mwanzo ikiwa ni jinsi ya kuwashukuru na kuonesha wanawajali wateja wake kwa zawadi maalum.Meneja wa Benki ya Ecobank, Tawi la Mwenge, Patrick Njole (kushoto) akikabidhi zawadi kwa Brandoni Kimoi ya siku...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya LG yatoa zawadi mbalimbali kwa wateja wake ndani ya sikukuu ya sabasaba

2

Mkufunzi mwandamizi toka kampuni ya LG, Elizabeth Morris, (Kushoto) akiwaonyesha waandishi wa habari moja ya microwave ambayo inatolewa kama zawadi kwa wateja wanaonunua friji za kisasa za LG. Tukio hilo lilifanyika katika banda la LG ndani ya viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara kimataifa maarufu kama Sabasaba, wa pili kushoto ni meneja wa tawi la LG Mtaa wa Nkurumah, Yasin Lodhi .

3

Bw. Festo Sakaya akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea zawadi ya Microwave ya kisasa toka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani