BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) YATOA HATI ZA VIWANJA KWA WATEJA WAKE
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB), Magareth Chacha (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichai) wakati wa hafla ya kukabidhi hati za viwanja kwa wateja walionunua na waliomaliza kulipa mikopo yao, Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Aaron Nyanda na Mwanasheria wa Ardhi Plan Ltd, Musa Maghimbi. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB), Magareth Chacha (wa pili kushoto) akimkabidhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
UTT-PID YATOA HATI YA VIWANJWA KWA WATEJA WAKE
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametoa rai kwa Taasisi za Kiserikali na zisizo za Kiserikali kuona umuhimu wa kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika shughuli za upimaji ardhi ili kuwaepusha na adha zinazoweza kuwapata pale yanapotokea maafa.
Hayo alisema mjini hapa siku Desemba 8, wakati wa ufunguzi wa mradi na ugawaji wa hati kwa wanunuzi wa Viwanja katika Kijiji cha Mapinga- Bagamoyo ulioratibiwa na Taasisi ya Maendeleo ya Miundombinu chini ya Dhamana...
11 years ago
Habarileo28 Apr
TWB kuwakopesha wanawake viwanja
BENKI ya Wanawake (TWB) imebuni mpango wa kuwainua wanawake wajasiriamli, kwa kuwapatia viwanja vilivyopimwa kisheria vyenye hati miliki ili kuwawezesha kukopesheka kirahisi.
10 years ago
Michuzi
ECOBANK TANZANIA YATOA ZAWADI KWA WATEJA WAKE SIKU YA WAPENDANAO


11 years ago
Michuzi
Benki ya Exim Tanzania yaandaa futari kwa wateja wake wa mkoani Tanga


9 years ago
Michuzi
BENKI YA BARCLAYS TANZANIA YAZINDUA KAMPENI YA MATUMIZI YA KADI ZA VISA KWA WATEJA WAKE.

Meneja wa bidhaa wa benki ya Barclays Tanzania, Valence Luteganya akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuzindua kampeni ya matumizi ya Kadi za VISA za benki ya Barclays kwaajili ya wateja wake. Pia Lutenganya amesema kuwa kampeni hii itadumu kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Desemba 17 mwaka huu hadi Februari 28, 2016. Kampeni hii itamwezesha mteja kunufaika na mafao mbalimbali yanayohusiana na malipo kabla na baada ya kutumia kadi zao za Visa. Wateja wenye...
10 years ago
Dewji Blog29 May
Zoezi la utiaji saini hati kwa wateja wa viwanja Lindi kwa Dar es Salaam lafikia tamati leo Mei 29
Afisa Ardhi wa Lindi, Mpoki Daimon (kushoto mwenhye t shit) akitoa maelezo kwa mteja aliyefika kutia saini hati ya katika zoezki hilo linalomalizika Ijumaa ya leo katika ofisi za UTT-PID, jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Zoezi la utiaji saini hati kwa wateja wa viwanja Lindi kwa Dar es Salaam kwa uratibu wa Manispaa ya Lindi kwa ushirikiano na Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyo chini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID), ambao ndio wawezeshaji wakuu wa mradi huo Ijumaa ya...
10 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM TANZANIA YAANDAA TENA FUTARI KWA AJILI YA WATEJA WAKE JIJINI DAR ES SALAAM.



11 years ago
MichuziTWA NA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) WAFANYA MAFUNZO KITUO CHA KINAMAMA WENYE WATOTO WENYE UGONJWA WA MTINDIO WA UBONGO NA MGONGO WAZI CHAWAWAKI KIGAMBONI
11 years ago
MichuziBenki ya FNB yakutana na wateja wake wa Tanzania