Benki ya FNB yakutana na wateja wake wa Tanzania
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB,Dave Aitken akizungumza na wateja wa benki hiyo wakati wa mkutano kati ya wateja na benki hiyo kujadili kuhusiana na mwelekeo wa uchumi wa kimataifa wa hapa nchini.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na mtoa mada katika mjadala huo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB Dave Aitken (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Nakuroei Investement Company LTD, Engineer Samwel Mollel.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya FNB...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
BENKI YA CBA TANZANIA YAFUTURISHA WATEJA WAKE DAR





.MkurugenzI na Maofisa...
9 years ago
MichuziBENKI YA EXIM TANZANIA YASHEREHEKEA MSIMU WA DIWALI NA WATEJA WAKE
10 years ago
Michuzi
BENKI YA CBA TANZANIA YAFUTURISHA WATEJA WAKE DAR ES SALAAM





.MkurugenzI na Maofisa...
10 years ago
MichuziBENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) YATOA HATI ZA VIWANJA KWA WATEJA WAKE
11 years ago
Michuzi
Benki ya Exim Tanzania yaandaa futari kwa wateja wake wa mkoani Tanga


9 years ago
Michuzi
BENKI YA BARCLAYS TANZANIA YAZINDUA KAMPENI YA MATUMIZI YA KADI ZA VISA KWA WATEJA WAKE.

Meneja wa bidhaa wa benki ya Barclays Tanzania, Valence Luteganya akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuzindua kampeni ya matumizi ya Kadi za VISA za benki ya Barclays kwaajili ya wateja wake. Pia Lutenganya amesema kuwa kampeni hii itadumu kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Desemba 17 mwaka huu hadi Februari 28, 2016. Kampeni hii itamwezesha mteja kunufaika na mafao mbalimbali yanayohusiana na malipo kabla na baada ya kutumia kadi zao za Visa. Wateja wenye...
10 years ago
Michuzi
BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) YAFUTARISHA WANA FAMILIA WA BENKI HIYO NA WATEJA WAKE





10 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM TANZANIA YAANDAA TENA FUTARI KWA AJILI YA WATEJA WAKE JIJINI DAR ES SALAAM.



10 years ago
Michuzi
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania akutana na wateja wa benki hiyo jijini Mwanza

