Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TWB kuwakopesha wanawake viwanja

BENKI ya Wanawake (TWB) imebuni mpango wa kuwainua wanawake wajasiriamli, kwa kuwapatia viwanja vilivyopimwa kisheria vyenye hati miliki ili kuwawezesha kukopesheka kirahisi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) YATOA HATI ZA VIWANJA KWA WATEJA WAKE

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki  ya Wanawake  Tanzania (TWB), Magareth Chacha  (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichai) wakati wa hafla ya kukabidhi hati za viwanja kwa wateja walionunua na waliomaliza kulipa mikopo yao, Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Aaron Nyanda na Mwanasheria wa Ardhi Plan Ltd, Musa Maghimbi. (Picha na Francis Dande)   Mkurugenzi Mtendaji wa Benki  ya Wanawake  Tanzania (TWB), Magareth Chacha  (wa pili kushoto) akimkabidhi...

 

9 years ago

Dewji Blog

PSPF, TPB na Property International Limited wazindua mpango wa kuwakopesha viwanja wanachama wa mfuko huo

WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais, (anayeshughulikia masuala ya Muungano), Samia Suluhu Hassan,(wapili kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi, (wakwanza kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Property International Ltd, (PIL), Abdulkarim Haleem, (watatu kulia), na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji, Gabriel Silayo, (wane kulia), wakiwa wamekamata mwamvuli ikiwa ni ishara ya umoja, kwenye...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, TPB KWA KUSHIRIKIANA NA PROPERTY INTERNATIONAL LIMITED WAZINDUA MPANGO WA KUWAKOPESHA VIWANJA WANACHAMA WA MFUKO HUO

 WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais, (anayeshughulikia masuala ya Muungano), Samia sSuluhu Hassan,(wapili kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi, (wakwanza kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Property International Ltd, (PIL), Abdulkarim Haleem, (watatu kulia), na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji, Gabriel Silayo, (wane kulia), wakiwa wamekamata mwamvuli ikiwa ni ishara ya umoja, kwenye...

 

11 years ago

Michuzi

TWA NA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) WAFANYA MAFUNZO KITUO CHA KINAMAMA WENYE WATOTO WENYE UGONJWA WA MTINDIO WA UBONGO NA MGONGO WAZI CHAWAWAKI KIGAMBONI

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement(TWA)  Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SIKU YA WANAWAKE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR LEO

Mama Salma akipungia washiriki wa matembezi wakati wakiwasili viwanja vya Mnazi MmojaWanawake wa Tanzania leo Jumapili Machi 8, 2015, wameungana na wenzao Duniani kote, kusherehekea siku ya Wanawake Duniani. Kitaifa sherehe hiyo imefanyika mkoani Morogoro, wakati jijini Dar es Salaam, wanawake kutoka wizara, taasisi za umma, halmashauri zote za jiji pamoja na vikundi vya wajasiriamali, walishiriki matembezi kutoka jengo la Ushirika barabara ya Lumumba jijini Dar es Salaam, hadi viwanja vya...

 

9 years ago

Mwananchi

Kanisa kuwakopesha vijana bodaboda

Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Jimbo la Kilimanjaro limeanzisha mradi wa kuwakopesha vijana pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda ili wafanikiwe kibiashara.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Cam gas kuwakopesha wajasiriamali mitaji

KAMPUNI ya Camel Fuels Tanzania kupitia bidhaa yake ya Cam gas imekuja na mkakati mpya wa kuongeza ajira kwa kuwakopesha wajasiriamali mitaji ya bidhaa za gesi, ili wajiajiri na kuchangia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TWB yakopesha wajasiriamali bil. 20/-

BENKI ya Wanawake Tanzania (TWB) imetoa zaidi sh bilioni 20 kwa wanawake wajasiriamali na vijana katika jitihada za kuwawezesha kukuza mitaji na kuimarisha biashara zao nchini. Mkurugenzi Mwendeshaji wa benki...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TWB kufungua vituo vidogo vijijini


BENKI ya Wanawake Tanzania (TWB), itaendelea kufungua vituo vidogo  vya kutunzia fedha katika maeneo ya vijijini ili kuwawezesha wanawake kuondokana na kuacha kutunza fedha kizamani.Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Pindi Chana wakati akijibu swali la nyongeza la Roman Selasini (Rombo-Chadema).Selasini aliitaka serikali kuzungumza na benki ili zifungue vituo vidogo vya kutunzia fedha katika maeneo ya vijijini na hatimaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani