Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanisa kuwakopesha vijana bodaboda

Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Jimbo la Kilimanjaro limeanzisha mradi wa kuwakopesha vijana pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda ili wafanikiwe kibiashara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kanisa larejesha maadili kwa vijana

UKOSEFU wa maadili katika jamii madhara yake ni makubwa. Wengi wamekuwa wakilizungumza hilo, lengo likiwa ni kuwashawishi wazazi na walezi wawalee vijana wao katika msingi mwema. Hiyo imetokana na vijana...

 

10 years ago

GPL

KAKOBE ALIVYOANZISHA KANISA NA VIJANA KUMI NA TATU -3

Makala: Elvan Stambuli
Naendelea kuwaletea mazungumzo kati yangu na Askofu Zakary Kakobe kuhusu alivyoanza kufanya miujiza ya uponyaji baada ya kuokoka.Mwandishi: Baada ya watu kutoamini kama ungeweza kumponya kwa maombi yule mama aliyekuwa bubu ulifanya nini? Askofu Zakary Kakobe akihubiri. Askofu Kakobe: Niliwaambia waende mitaani wakawaalike watu wengine ili waje waone miujiza ya Mungu kwani baada ya muda mfupi yule mama...

 

9 years ago

Mwananchi

Bodaboda ajira ‘chungu’ kwa vijana Dar

Udereva wa pikipiki zinazochukua abiria maarufu kwa jina la bodaboda, umekuwa kazi maarufu inayosaidia kujiajiri hasa kwa kundi kubwa la vijana.

 

10 years ago

Michuzi

mhe sitta afunga mafunzo ya waendesha bodaboda wilayani urambo, azindua tawi la umoja wa vijana wa CCM

Waziri wa Uchukuzi  Mhe Samuel Sitta akifunga mafunzo ya waendesha  boda boda chuo cha FDC wilaya Urambo leo. Pia amewaasa kuzingatia mafunzo walioyapata kuepuka ajali zinazoweza kuzuilika aidha ametoa wito kwa vijana hao kuwaamasisha wenzao kushiriki mafunzo na kujiendeleza na kozi nyingine za ufundi pale zinapobidi. Pia ameshiriki kutoa vyeti kwa wahitimu wa chuo hicho wapatao 63 Waziri wa Uchukuzi  Mhe Samuel Sitta akitoa cheti mwa mmoja wa wahitimu 63 wa kozi hiyo mafunzo ya waendesha...

 

11 years ago

Habarileo

TWB kuwakopesha wanawake viwanja

BENKI ya Wanawake (TWB) imebuni mpango wa kuwainua wanawake wajasiriamli, kwa kuwapatia viwanja vilivyopimwa kisheria vyenye hati miliki ili kuwawezesha kukopesheka kirahisi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Cam gas kuwakopesha wajasiriamali mitaji

KAMPUNI ya Camel Fuels Tanzania kupitia bidhaa yake ya Cam gas imekuja na mkakati mpya wa kuongeza ajira kwa kuwakopesha wajasiriamali mitaji ya bidhaa za gesi, ili wajiajiri na kuchangia...

 

11 years ago

Dewji Blog

PSPF kujenga nyumba 200 za kuwakopesha wanachama wake Singida

DSC08020

Mkuu wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma (PSPF)  mkoa wa Singida, Bw. Saidi Majimoto, akihamasisha wanafunzi wa ualimu kujinga na mfuko wa PSPF ili kujihakikishia kupata mafao ya kukidhi mahitaji.Kushoto ni afisa wa PSPF, Andrew Mtima.

DSC08012

Baadhi ya wanafunzi wa ualimu chuo cha Lake Hill mjini Singida,wakimsikiliza mkuu wa mfuko wa pensheni kwa watumisi wa umma (PSPF), Saidi Majimoto (hayupo kwenye picha)akiwahamasisha kujiunga na mfuko huo ili kufaidika na mafao lukuki.

DSC08013

Bango la...

 

10 years ago

Michuzi

KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO

Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanaisa hilo jijini Dar es Salaam juzi Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi Wanakwaya wa Paroko wa Kanisa Katoliki Paroki ya Mwananyamala, wakiimba wakati wa uzinduzi uuzaji wa tiketi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo

1

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.

2

Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe,  akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi

3

5

Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala,  Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya  harambee ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani