Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAKOBE ALIVYOANZISHA KANISA NA VIJANA KUMI NA TATU -3

Makala: Elvan Stambuli
Naendelea kuwaletea mazungumzo kati yangu na Askofu Zakary Kakobe kuhusu alivyoanza kufanya miujiza ya uponyaji baada ya kuokoka.Mwandishi: Baada ya watu kutoamini kama ungeweza kumponya kwa maombi yule mama aliyekuwa bubu ulifanya nini? Askofu Zakary Kakobe akihubiri. Askofu Kakobe: Niliwaambia waende mitaani wakawaalike watu wengine ili waje waone miujiza ya Mungu kwani baada ya muda mfupi yule mama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wasomali walalama kufungwa kwa mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni

Kenya imefunga mashirika 13 na akaunti 86 za watu wanaodhaniwa kufadhili Al ShabaabWasomali walalama kufungwa kwa Hawala Kenya
Jamii ya wasomali nchini Kenya wamelalamikia vikali hatua ya serikali nchini humo kufunga mashirika kumi na tatu ya ubadilishaji wa sarafu za kigeni na usafirishaji pesa maarufu kama Hawala.

Malalamishi yao ni kuwa hatua hiyo itasababisha matatizo makubwa kwa wasomali ambao daima wanategemea njia hiyo, kuwatumia jamaa zao fedha kutoka mataifa ya kigeni.

Hatua hiyo...

 

9 years ago

Mwananchi

Kanisa kuwakopesha vijana bodaboda

Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Jimbo la Kilimanjaro limeanzisha mradi wa kuwakopesha vijana pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda ili wafanikiwe kibiashara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kanisa larejesha maadili kwa vijana

UKOSEFU wa maadili katika jamii madhara yake ni makubwa. Wengi wamekuwa wakilizungumza hilo, lengo likiwa ni kuwashawishi wazazi na walezi wawalee vijana wao katika msingi mwema. Hiyo imetokana na vijana...

 

11 years ago

Michuzi

UFUNGUZI MKUTANO WA TATU WA WANASAYANSI VIJANA DUNIANI

 Makam wa Rais Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akiangalia zawadi ya kinyago aliyopewa na vijana wanasayansi duniani. Zawadi hiyo imetolewa Rais wa vijana wanasayansi duniani, Meng Wang. (kulia), kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo.

 Baadhi ya wanafunzi kutoka katika sekondari mbalimbali jijini Dar es Salaam katika picha ya pamoja na Makam wa Rais Makam wa Rais Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, pamoja na viongozi wengine, akiwemo Rais Mstaafu wa Awamu...

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU KUTOKA NCHI TATU, TANZANIA, RWANDA NA SWEDEN

Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Eng.Christopher Chiza(katikati)akisoma hotuba iliyoandaliwa katika kongamano hilo (kulia)balozi wa Swideni wa Tanzania Lennarth Hjelmaker(kushoto)Askofu mkuu wa makanisa ya FPCT David Batenzi.…

 

10 years ago

Michuzi

Warsha ya Maafisa Vijana,waratibu wa ukimwi na wadau mbalimbali yafikia siku ya tatu jijini Mwanza

Mwakilishi wa Vijana kutoka kamati ya kudhibiti Ukimwi manispaa ya Shinyanga Bw,Rigobert Rwehumbiza akielezea wajibu binafsi kwa kijana kwa washiriki wenzie katika warsha ya siku nne ya stadi za maisha na afya ya uzazi.Katibu asasi ya Vijana ya Boys & Girls Bw,Johnson Jacob kutoka Bariadi akionyesha igizo lilikuwa likionyesha wajibu wa Vijana  kwa Familia ikiwamo kuwalinda na kuwapatia mahitaji yao muhimu.Mtaalamu wa Stadi za Maisha Bw,Robert Semkiwa akiwafundisha waratibu wa ukimwi na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Ratiba Bunge la Kumi, Mkutano wa Kumi na Tano

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifunga Bunge  leo twasira ya muono wa Mandhari ilivyokuwa.

Ratiba Ya Mkutano Wa 15 Wa Bunge New by moblog

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani