Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanisa larejesha maadili kwa vijana

UKOSEFU wa maadili katika jamii madhara yake ni makubwa. Wengi wamekuwa wakilizungumza hilo, lengo likiwa ni kuwashawishi wazazi na walezi wawalee vijana wao katika msingi mwema. Hiyo imetokana na vijana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa maadili tatizo sugu kwa vijana

>Maadili ni hatua muhimu ambayo humtambulisha binadamu ndani ya jamii yake. Katika hali ya kawaida maadili hujitokeza katika matendo, kwa vile ndicho kielelezo sahihi cha kupima maadili ya jamii fulani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utandawazi umezima taa ya maadili kwa vijana

KUTOKANA na maendeleo ya Sayansi na Teknolojia, suala ya utandawazi limekuwa likilalamikiwa kuwa chanzo cha kufifisha maadili ya Tanzania. Watu wengi hususan vijana wamekuwa wakiishi kwenye giza la uovu. Vitu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DK. HURUMA NKONE: Kanisa lina dhamana kusimamia maadili

MWANADAMU katika safari yake ya maisha ipo miongozo mbalimbali inayomsaidia kuhakikisha anaishi maisha yenye maadili. Katika kutoa mwelekeo wa mwaka 2014, Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God...

 

10 years ago

Michuzi

Sekretarieti ya Maadili waendesha mafunzo ya Maadili kwa maafisa waandamizi wa Polisi Zanzibar

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeendesha mafunzo ya Maadili kwa maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Mikutano ulioko katika Chuo cha Polisi mjini Zanzibar.
Mafunzo hayo yana lengo la kuwasaidia watendaji hao wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar kuweza kuondokana na changamoto nyingi za uvunjifu wa maadili ambazo watendaji hao wamekuwa wakikabiliana nazo.
Mafunzo hayo pia yana lengo la kuwakumbusha watendaji hao jinsi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kanisa kuwakopesha vijana bodaboda

Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Jimbo la Kilimanjaro limeanzisha mradi wa kuwakopesha vijana pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda ili wafanikiwe kibiashara.

 

10 years ago

GPL

KAKOBE ALIVYOANZISHA KANISA NA VIJANA KUMI NA TATU -3

Makala: Elvan Stambuli
Naendelea kuwaletea mazungumzo kati yangu na Askofu Zakary Kakobe kuhusu alivyoanza kufanya miujiza ya uponyaji baada ya kuokoka.Mwandishi: Baada ya watu kutoamini kama ungeweza kumponya kwa maombi yule mama aliyekuwa bubu ulifanya nini? Askofu Zakary Kakobe akihubiri. Askofu Kakobe: Niliwaambia waende mitaani wakawaalike watu wengine ili waje waone miujiza ya Mungu kwani baada ya muda mfupi yule mama...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Mbilinyi: Viongozi ‘vijana’ kukosa maadili ni matokeo ya UPE

Katika makala yafuatayo Profesa Saimon Mbilinyi ambaye ni msomi, mwanasiasa na mchumi aliyebobea, pamoja na mambo mengine anaeleza mambo mbalimbali kuhusu yeye, siasa, uchumi na uongozi kama alivyohojiwa hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mmomonyoko wa maadili kufikisha vijana katika hatua mbaya ya kudharau

DSC06344

Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Aluu Segamba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Puma kwa ajili ya Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Sixtus Raphael Mapunda kuzungumza na wananchi.

DSC06388

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) Taifa, Sixtus Raphael Mapunda akitema cheche katika mkutano huo wa hadhara.

DSC06412

Mkazi wa kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Seleman Nkhomee, aliuliza swali kuwa ni lini CCM itaanza kuwalipa posho mabalozi wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi larejesha hali ya utulivu,Kinsasa

Jeshi la demokrasia ya Congo limesema kuwa limefanikiwa kuzima shambulio lililolenga uwanja wa ndege na kituo cha taifa cha Radio na Televisheni katika makao makuu ya nchi hiyo Kinsasa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani