Mmomonyoko wa maadili kufikisha vijana katika hatua mbaya ya kudharau
Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Aluu Segamba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Puma kwa ajili ya Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Sixtus Raphael Mapunda kuzungumza na wananchi.
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) Taifa, Sixtus Raphael Mapunda akitema cheche katika mkutano huo wa hadhara.
Mkazi wa kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Seleman Nkhomee, aliuliza swali kuwa ni lini CCM itaanza kuwalipa posho mabalozi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Mmomonyoko wa maadili, maendeleo ya Tanzania yetu
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Mmomonyoko wa maadili ni zao la jamii ovu
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
MKAPA: MMOMONYOKO WA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA UNATISHA
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
‘Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’
MATUMIZI ya simu kwa wanafunzi shuleni ambayo yamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwao, yanaweza kudhibitiwa endapo wamiliki wa shule, walimu na wazazi watasimamia sheria zitakazosaidia kuwabana wanafunzi kumiliki simu....
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Lipumba: Hali ya uchumi ni mbaya, Serikali ichukue hatua
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Maamuzi mabovu na utendaji mbaya wa kazi wawapelekea wenyekiti kumchukulia hatua mwenyekiti wao wa kijiji
Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa.
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku. Ila vilio hivi huishaga pale tu wananchi wanapoamua kwa dhati kuchukua hatua, kama walivyofanya wananchi wa kijiji cha Shenda. Shenda ni moja kati ya vijiji...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Kanisa larejesha maadili kwa vijana
UKOSEFU wa maadili katika jamii madhara yake ni makubwa. Wengi wamekuwa wakilizungumza hilo, lengo likiwa ni kuwashawishi wazazi na walezi wawalee vijana wao katika msingi mwema. Hiyo imetokana na vijana...
11 years ago
Mwananchi04 May
Afya ya vijana leo ni mbaya ukilinganisha na yetu zamani- (3)
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Afya za vijana wa leo ni mbaya ukilinganisha na enzi zetu