Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmomonyoko wa maadili kufikisha vijana katika hatua mbaya ya kudharau

DSC06344

Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Aluu Segamba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Puma kwa ajili ya Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Sixtus Raphael Mapunda kuzungumza na wananchi.

DSC06388

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) Taifa, Sixtus Raphael Mapunda akitema cheche katika mkutano huo wa hadhara.

DSC06412

Mkazi wa kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Seleman Nkhomee, aliuliza swali kuwa ni lini CCM itaanza kuwalipa posho mabalozi wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mmomonyoko wa maadili, maendeleo ya Tanzania yetu

Kadiri miaka inavyozidi kwenda ongezeko la mmomonyoko wa maadili kwa watumishi wa umma limekuwa tishio kwa maendeleo ya Taifa letu kiuchumi, kisiasa na kijamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Mmomonyoko wa maadili ni zao la jamii ovu

Askari watatu wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kagera wamefukuzwa kazi kwa kosa la kufanya vitendo vinavyokiuka maadili. Askari hao walipigwa picha wakibusiana huku wamevaa sare za jeshi.

 

10 years ago

KwanzaJamii

MKAPA: MMOMONYOKO WA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA UNATISHA

Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa, amesema tatizo la mgongano wa maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma ni tatizo ambalo Tanzania inakabiliana nalo hivi sasa. Kadhalika, amesema licha ya serikali kufanikiwa katika kuhakikisha maadili nchini yanazingatiwa, bado lipo tatizo ambalo limeonekana kutopewa uzito unaostahili. Alisema hayo jijini Dar es Salaam jana wakati akifungua warsha ya kujadili mapendekezo ya kutungwa kwa sheria mpya ya kudhibiti mgongano wa maslahi miongoni mwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

MATUMIZI ya simu kwa wanafunzi shuleni ambayo yamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwao, yanaweza kudhibitiwa endapo wamiliki wa shule, walimu na wazazi watasimamia sheria zitakazosaidia kuwabana wanafunzi kumiliki simu....

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba: Hali ya uchumi ni mbaya, Serikali ichukue hatua

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ameitaka Serikali kutafuta ufumbuzi wa haraka wa matatizo ya kiuchumi, kwa kuwa hali ilivyo sasa ni mbaya.

 

9 years ago

Dewji Blog

Maamuzi mabovu na utendaji mbaya wa kazi wawapelekea wenyekiti kumchukulia hatua mwenyekiti wao wa kijiji

S1

Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa.

Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku.   Ila vilio hivi huishaga pale tu wananchi wanapoamua kwa dhati kuchukua hatua, kama walivyofanya wananchi wa kijiji cha Shenda.  Shenda ni moja kati ya vijiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kanisa larejesha maadili kwa vijana

UKOSEFU wa maadili katika jamii madhara yake ni makubwa. Wengi wamekuwa wakilizungumza hilo, lengo likiwa ni kuwashawishi wazazi na walezi wawalee vijana wao katika msingi mwema. Hiyo imetokana na vijana...

 

11 years ago

Mwananchi

Afya ya vijana leo ni mbaya ukilinganisha na yetu zamani- (3)

Kitakwimu idadi ya vijana Tanzania ni kubwa zaidi ya wazee, nchi zilizoendelea walipitisha miaka 70 ni wengi sababu ya ubora wa maisha. Lakini hapo hapo Uzunguni yapo ‘mabaya’ yanayostahili kuangaliwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Afya za vijana wa leo ni mbaya ukilinganisha na enzi zetu

Wiki iliyopita mwanasoka maarufu, Yaya Toure, alikumbusha suala la afya alipofanya mahojiano na gazeti mashuhuri Uingereza- Daily Mail.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani