Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afya za vijana wa leo ni mbaya ukilinganisha na enzi zetu

Wiki iliyopita mwanasoka maarufu, Yaya Toure, alikumbusha suala la afya alipofanya mahojiano na gazeti mashuhuri Uingereza- Daily Mail.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Afya ya vijana leo ni mbaya ukilinganisha na yetu zamani- (3)

Kitakwimu idadi ya vijana Tanzania ni kubwa zaidi ya wazee, nchi zilizoendelea walipitisha miaka 70 ni wengi sababu ya ubora wa maisha. Lakini hapo hapo Uzunguni yapo ‘mabaya’ yanayostahili kuangaliwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Afya ya vijana leo ni mbaya ukilinganisha na yetu zamani- (2)

Vijana wa leo wanatangaziwa mengi mazuri yaliyoenea kila mahali. Lakini, je, yanapatikana? Saikolojia iliyoenea ni kutaka ‘rahisi rahisi’, badala ya ‘aste aste’ na taratibu kwani polepole ndiyo mwendo, lakini vijana wa leo wamekuwa na “haraka haraka haina baraka.”

 

9 years ago

Dewji Blog

Afya zetu; Mabadiliko katika upasuaji wa uvimbe wa saratani

Dk. Umanath Nayak, mshauri mkuu wa  magonjwa ya saratani ya kichwa na shingo pamoja na upasuaji kwa njia ya roboti katika hospitali ya saratani ya Apollo Hyderabad nchini India.

Na Mwandishi Wetu,

Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni...

 

5 years ago

CCM Blog

MAMA MAKINDA: TUFIKIRIE KWANZA AFYA ZETU TUJIUNGE NA NHIF


Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF, Mama Anne Makinda akizindua mpango wa Machinga Afya unaotoa fursa kwa machinga kujiunga na huduma za matibabu kwa gharama nafuu.Sehemu ya washiriki wa hafla ya uzinduzi wakifuatilia hotuba ya Mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF.Mwanachama kupitia mpango wa Machinga Afya akifuarahia baada ya kupokea kadi yake ya matibabu.Mama Anne Makinda akikabidhi kadi kwa wanachama wapya kupitia mpango wa Machinga Afya.Mwenyekiti wa Bodi Mama Anne Makinda...

 

5 years ago

Michuzi

Tufikirie kwanza afya zetu tujiunge na NHIF- Mama Makinda


Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF, Mama Anne Makinda akizindua mpango wa Machinga Afya unaotoa fursa kwa machinga kujiunga na huduma za matibabu kwa gharama nafuu.Sehemu ya washiriki wa hafla ya uzinduzi wakifuatilia hotuba ya Mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF.Mwanachama kupitia mpango wa Machinga Afya akifuarahia baada ya kupokea kadi yake ya matibabu.Mama Anne Makinda akikabidhi kadi kwa wanachama wapya kupitia mpango wa Machinga Afya.Mwenyekiti wa Bodi Mama Anne Makinda...

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Vinywaji baridi vya kuchangamsha hatari kwa afya zetu

Oktoba 2014, Shirika la Afya Duniani (WHO) lilionya ongezeko la vinywaji vya kuchangamsha. Takwimu za WHO zilinguruma, “energy drinks” (kwa kimombo), hutumiwa zaidi na asilimia 68 ya vijana, watoto chini ya miaka 10 asilimia 18, na asilimia 30 ya watu wazima. Onyo lilizingatia madhara ya vinywaji hivi vyenye ladha tamu inayowavutia watoto.

 

10 years ago

Michuzi

Vijana wahamasishwa kutembelea vituo vya afya kujua afya zao

Msanii wa Muziki wa Taarabu na mpiga Gitaa maarufu nchini Bw. Thabit Abdul akizungumza na vijana wa jijini la Dar es Salaam wakati wa hafla ya Jamvi la Vijana ambalo uendeshwa maramoja kila mwezi na Kituo cha Vijana UMATI kilichopo wilayani Temeke alipokuwa mgeni rasmi katika jamvi hilo jana jijini Dar es Salaam. Jamvi hilo lilikuwa na ujumbe mahususi kwa vijana uliolenga kuwa hamasisha kufika katika vituo vya afya kwa ajili ya kuchunguza afya zao na kupata matibabu. Mratibu wa Kituo cha...

 

9 years ago

Michuzi

JAMVI LA VIJANA LA UMATI MWEZI HUU LIMEKUWA CHACHU YA KUHAMASISHA VIJANA KATIKA MASUALA YA AFYA YA UZAZI

 Vijana wa YAM ( Youth Action Movement) ambao ni waandaaji wa tamasha hili linalofanyika kila mwezi wakionesha igizo lao lililobeba ujumbe unaosema ni jukumu la wazazi kuwaelimisha vijana juu ya afya ya uzazi na ujinsia ili kuwakinga na maambukizi ya VVU mimba katika umri mdogo na ngono katika umri mdogo.Mwenyekiti wa UMATI dar es salaam Mr.Harith Shomvi ambae alikuwa mgeni rasmi  katika tamasha hilo akihutubia wananchi na kuwasisitiza wapate huduma za uzazi wa mpango na upimaji ambazo...

 

11 years ago

Bongo5

Siku ya Vijana Duniani: ‘Vijana na Afya ya Akili’, Tusipokabiliana na ukosefu wa ajira na kupewa nguvu ya maamuzi, hatutaweza

Miaka 15 iliyopita, Umoja wa Mataifa uliitangaza August 12 kila mwaka, kuwa ‘Siku ya Vijana Duniani’ ambapo kauli mbiu ya mwaka huu inasema ‘Vijana na Afya ya Akili’. Kwa mujibu wa andiko kutoka Umoja wa Mataifa, asilimia 20 ya vijana duniani kote hupata tatizo linalohusiana na afya ya akili kila mwaka. Hatari zaidi hutokea katika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani