Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afya zetu; Mabadiliko katika upasuaji wa uvimbe wa saratani

Dk. Umanath Nayak, mshauri mkuu wa  magonjwa ya saratani ya kichwa na shingo pamoja na upasuaji kwa njia ya roboti katika hospitali ya saratani ya Apollo Hyderabad nchini India.

Na Mwandishi Wetu,

Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MABADILIKO KATIKA UPASUAJI WA UVIMBE WA SARATANI

Dk. Umanath Nayak, mshauri mkuu wa  magonjwa ya saratani ya kichwa na shingo pamoja na upasuaji kwa njia ya roboti katika hospitali ya saratani ya Apollo Hyderabad nchini India

Na Mwandishi Wetu, Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni...

 

9 years ago

Mwananchi

Upasuaji wa uvimbe wa saratani unavyofanyika kwa kutumia roboti

Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu pia ufanisi na ubora katika huduma za afya.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mabadiliko katika upasuaji

da-Vinci-robot-swahili

Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni yanayohusika na kutengeneza vifaa vya tiba hivi sasa yanalenga katika kutengeneza roboti ambazo hufanya upasuaji kwa ufanisi zaidi bila madhara makubwa kwa mgonjwa.

Kuna matumaini sana katika upasuaji...

 

9 years ago

Michuzi

MSAADA MKUBWA UNAHITAJIKA KWA DADA ELIZA ILI AWEZE KUFANYIWA UPASUAJI WA UVIMBE TUMBONI

Eliza Juma (30), mkazi wa Mtaa wa Mbwanga Manispaa ya Dodoma anaomba msaada wa hali na mali kutoka kwa yeyote ataeguswa ili aweze kufanyiwa upasuaji wa uvimbe tumboni ambao umekuwa ukiongezeka kila siku.
Akizunguma na waandishi wa habari mjini hapa Dodoma, alisema kuwa uvimbe huo ambao umekuwa ukiongezeka kila siku umekuwa kikwazo kwake katika kutekeleza majukumu yake ya kujipatia kipato.
Alisema kuwa uvumbe huo unaotokana na yeye kufanyiwa upasuaji wa utumbo aliofanyiwa miaka miwili...

 

5 years ago

BBCSwahili

Berzosertib: Dawa mpya ya saratani inayozuia uvimbe yawapatia matumaini wagonjwa

Dawa inayoweza kuzuia seli za saratani kujikarabati zenyewe imeonesha ishara za mapema za kufanya kazi.

 

5 years ago

Michuzi

Upasuaji wa Saratani bila kuondoa titi waanza Mloganzila

Wataalam wa upasuaji, radiolojia, patholojia, tiba ya mionzi na dawa wamekutana kwa lengo la kujengeana uwezo ili kuboresha huduma za upasuaji kwa wagonjwa wanaogunduliwa na saratani ya matiti mapema ili kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo.
Kwa mujibu wa takwimu za Hospitali ya Taifa Muhimbili zinaonyesha kuwa wanaogunduliwa na saratani ya matiti ni kati ya wanawake wenye umri wa miaka 40 hadi 80.
Hayo yamesemwa na Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya muda wa kulala na saratani

Mabadiliko katika mfumo wa kulala unaweza kusababisha mtu kupata saratani ya Maziwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Afya za vijana wa leo ni mbaya ukilinganisha na enzi zetu

Wiki iliyopita mwanasoka maarufu, Yaya Toure, alikumbusha suala la afya alipofanya mahojiano na gazeti mashuhuri Uingereza- Daily Mail.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani