Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabadiliko katika upasuaji

da-Vinci-robot-swahili

Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni yanayohusika na kutengeneza vifaa vya tiba hivi sasa yanalenga katika kutengeneza roboti ambazo hufanya upasuaji kwa ufanisi zaidi bila madhara makubwa kwa mgonjwa.

Kuna matumaini sana katika upasuaji...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MABADILIKO KATIKA UPASUAJI WA UVIMBE WA SARATANI

Dk. Umanath Nayak, mshauri mkuu wa  magonjwa ya saratani ya kichwa na shingo pamoja na upasuaji kwa njia ya roboti katika hospitali ya saratani ya Apollo Hyderabad nchini India

Na Mwandishi Wetu, Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Afya zetu; Mabadiliko katika upasuaji wa uvimbe wa saratani

Dk. Umanath Nayak, mshauri mkuu wa  magonjwa ya saratani ya kichwa na shingo pamoja na upasuaji kwa njia ya roboti katika hospitali ya saratani ya Apollo Hyderabad nchini India.

Na Mwandishi Wetu,

Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu, na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya. Teknohama imekuwa na mchango mkubwa sana katika maendeleo ya ndani ya sekta hii muhimu. Makampuni...

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya upasuaji tata katika usuluhishi

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru kesi ya upasuaji tata katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Kitengo cha Upasuaji wa Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), ipelekwe katika usuluhishi.

 

10 years ago

Michuzi

MOI yajiimarisha katika utoaji huduma muhimu za Tiba na Upasuaji

 Afisa Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Bw. Patrick Mvungi akieleza kwa vyombo vya habari(hawapo pichani) kuhusu mafanikio ya Taasisi hiyo ikiwemo kufanikiwa kwa zaidi ya asilimia 95 ya kutoa huduma muhimu za Tiba na Upasuaji kwa wagonjwa wanaopokelewa na hivyo kupunguza vifo na rufaa za kuwapeleka wagonjwa nje ya nchi,wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar ea Salaam. Kushoto ni Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa Taasisi hiyo Bw....

 

10 years ago

GPL

ZITAMBUE VIMBE MBALIMBALI KATIKA MWILI WA MWANAMKE NA JINSI YA KUZIONDOA PASIPO KUFANYA UPASUAJI

Wiki iliyopita tulizitazama aina za vimbe, tuliishia katika kipengele cha pili kilichosema:
Fibroids au Mayoma:Hizi ni vimbe zinazotokea katika mji wa mimba na hizi ndizo vimbe zinazowasumbua watu wengi sana  katika jamii yetu ya sasa, na dalili zake ni kama; Hapa mwanamke hupatwa na maumivu chini ya kitovu lakini ni katikati siyo upande wa kulia wala upande wa kushoto na mara nyingi maumivu haya huambatana na maumivu ya...

 

10 years ago

Michuzi

JK afungua jengo la upasuaji katika hospitali ya rufaa ya Mawenzi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua jengo la upasuaji katika hospitali ya rufaa ya Mawenzi mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro muda mfupi baada ya kulifungua leo.Kulia ni Naibu Waziri wa Afya Dkt.Steven Kebwe. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mawenzi mjini Moshi muda mfupi baada ya kufungua jengo la upasuaji na kuweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa wodi ya mama na watoto katika hospitali hiyo leo.(wanne kulia ni...

 

10 years ago

Michuzi

utiaji saini Mkataba wa uendelezaji wa Ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni, pemba

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kutoa ajira maalum kwa Watendaji wa Sekta ya Afya watakaotoa huduma za afya Kisiwani Pemba ili kujaribu kuondosha tatizo la uhaba wa watendaji wa sekta hiyo.  Alisema mpango huo utakuwa wazi na kutangazwa kwa watendaji wenye sifa za kufanya kazi hiyo watakuwa huru kuomba nafasi hizo na yule atakayeamua kutumia fursa hiyo kwakufanya ujanja wa kuchukuwa uhamisho kufanya kazi unguja atambue...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rais ajaye azingatie mabadiliko katika elimu

WAKATI kukiwa na hamu ya kujua nani atakuwa rais wa awamu ya tano atakayepokea kijiti cha Rais Jakaya Kikwete, bado sekta ya elimu ina changamoto zinazohitaji utatuzi wa haraka.

Moja ya matatizo hayo ni kubadilishwa mitaala ya elimu mara kwa mara kila anapoingia waziri mpya wa elimu, hawazingatii mazingira ya wanafunzi namna watakavyoipokea wanachojali ni kutumikia siasa na matakwa binafsi.

Si wakufunzi tu bali hata wanafunzi hupoteza mwelekeo na mpangilio wa masomo, hivyo kufanya...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania kushirikiana na ufaransa katika masuala ya mabadiliko ya Tabianchi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Mheshimiwa Dr Bilinith Mahenge (wa kwanza kushoto)akizungumza na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania Bwana Marcel Escure (pili kushoto), jinsi Tanzania itakavyoweza kushirikiana na Ufaransa katika kukabiliana na masuala ya mabadliko ya Tabianchi na watakavyofanyakazi kwa pamoja. Wa pili kulia ni Msaidizi wa Balozi wa Ufaransa Bwana Frangois Leonardi na ( wa kwanza kulia) ni Mkurungenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira Richard...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani