MOI yajiimarisha katika utoaji huduma muhimu za Tiba na Upasuaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-vWmlyQGdVlU/VEonH5v1btI/AAAAAAACtcs/nREPUbJRX00/s72-c/1.jpg)
Afisa Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Bw. Patrick Mvungi akieleza kwa vyombo vya habari(hawapo pichani) kuhusu mafanikio ya Taasisi hiyo ikiwemo kufanikiwa kwa zaidi ya asilimia 95 ya kutoa huduma muhimu za Tiba na Upasuaji kwa wagonjwa wanaopokelewa na hivyo kupunguza vifo na rufaa za kuwapeleka wagonjwa nje ya nchi,wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar ea Salaam. Kushoto ni Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa Taasisi hiyo Bw....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA , UPASUAJI WA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU (MOI)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ERWuXLKgJRk/UzGJ_WdzwbI/AAAAAAAA02M/g9dBWwlSwGo/s72-c/01.ABG.jpg)
AFRICAN BARRICK GOLD MINING WADHAMINI TIBA YA UPASUAJI BURE KWA KICHWA, MGONGO NA MISHIPA YA FAHAMU KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERWuXLKgJRk/UzGJ_WdzwbI/AAAAAAAA02M/g9dBWwlSwGo/s1600/01.ABG.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VpMzVLS0kF8/UzGKBG40kUI/AAAAAAAA02g/dweXnqDr42M/s1600/01.ABG9.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Mabingwa wa upasuaji watua MOI
MADAKTARI bingwa wanne kutoka Misri wamewasili nchini juzi kwa ajili kubadilishana uzoefu, ujuzi, kupanua wigo na kukuza uhusiano katika kitengo cha Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) ikiwa ni kampeini...
9 years ago
StarTV03 Dec
Mbunge wa Bunda kutowavumilia watendaji wazembe katika utoaji wa huduma kwa wananchi
Mbunge wa jimbo la Bunda Boniphace Mwita amesema kuwa hatawavumilia watendaji wa serikali na viongozi wa ngazi mbalimbali jimboni humo ambao watashindwa kwenda na kasi ya rais Magufuli kwani hatakuwa tayari kufanyakazi na watu wazembe.
Mbunge huyo wa Bunda ameyasema hayo kwenye kikao elekezi alichokiandaa katika kata ya Nyamuswa kikishirikisha viongozi wa ngazi mbalimbali na watendaji wote wa serikali, ili kila mmoja atambuwe wajibu wake wa kutumikia wananchi.
Mbunge wa Bunda Boniphace...
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA UFUNGAJI WA MFUMO WA KUKUSANYA MAPATO KATIKA MAENEO YA UTOAJI HUDUMA ZA AFYA
NA TIGANYA VINCENT
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuhakikisha wanafunga Mfumo wa ukusanyaji wa mapato kwa katika maeneo yote yanayosuka na utoaji wa huduma za afya ili kuongeza kiwango cha ukusanyaji mapato.
Ukusanyaji wa mapato kwa njia za stakabadhi zilizo katika vitabu zimesababisha baadhi ya mapato kupotea na mengine kuishia mifukoni mwa watumishi wasio waaminifu.
Mwanri ametoa kauli hiyo jan20a wakati wa ukaguzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yqDlwRKgNyM/Xur-z89WHeI/AAAAAAALuVg/2-8N03mGyygdK65CmgWrgENBF_hLFJvywCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B8.23.10%2BAM.jpeg)
LITTLE YAPANUA WIGO WAKE WA UTOAJI HUDUMA YA USAFIRI KATIKA MIJI YA DODOMA, ARUSHA, MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yqDlwRKgNyM/Xur-z89WHeI/AAAAAAALuVg/2-8N03mGyygdK65CmgWrgENBF_hLFJvywCLcBGAsYHQ/s200/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B8.23.10%2BAM.jpeg)
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
KAMPUNI ya Tax ya kimtandao LITTLE inayotoa huduma za usafiri kwa wateja sasa imepanua wigo wake wa huduma rasmi katika Jiji la Dodoma, Arusha na Mwanza,hiyo ni kutokana na ongezeko kubwa la uhutaji ,
LITTLE ilianzisha huduma zake katika Jiji la Dar es salaam nchini Tanzania mwaka 2019, ilikumuhakikisha urahisi mteja ambaye atapaswa kulipia Sh. 500 kwa kilomita na Sh. 80 kwa dakika atakazotumia.
Akizungumzia upanuzi huo,Mkuu wa Operesheni Little Tanzania Eddsteve...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s72-c/_MG_1131.jpg)
TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s640/_MG_1131.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GPMVNxH70Vc/VbiRMMNFGLI/AAAAAAAHsb4/0leXLRBS5cE/s1600/_MG_1137.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...
9 years ago
Michuzi20 Dec
WAZIRI UMMY MWALIMU KATIKA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA, KUKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA LEO
![IMG-20151220-WA0012](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/2jqSTb6rwwHyDPhhDJDSXM_Y9GTLhKQG3al0Byv191LsT6SJ3AF_f9Ns_75ry3stFkDjSojEMXG_c-9jJcfIxvraqQNFWRf2bd0A7-PJd7TS9I1S0bTuzt8uUAWN=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg)
![IMG-20151220-WA0019](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2FRm_TTrk97vFdEwTUPV_oDUPzwmBxAJrp3BDakrQ2l83AnH1aXG-RSnQsZJ-_u6n6AEYyVl2A26mjFskppUmLIcY3hZvQPTK4GFV3fXeyVzbLoDKL1Bd1MRGIQk=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg)
10 years ago
VijimamboHUDUMA YA UPASUAJI WA WATOTO WENYE UGONJWA WA KICHWA KUJAA MAJI NA MGONGO WAZI YAZINDULIWA RASMI KATIKA HOSPITARI YA RUFAA YA MKOA WA KAGERA
Na Faustine Ruta, Bukoba
Shirika lisilokuwa la serikali la Friends of Children with Cancer Tanzania (FOCC TZ) lazindua rasmi huduma ya upasuaji wa watoto wenye ugonjwa wa vichwa kujaa maji na mgongo wazi mkoani Kagera katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa ambapo jumla ya watoto arobaini wenye tatizo hilo wanatajiwa kufanyiwa upasuaji kuanzia Julai 25-26, 2015. Mkurugenzi wa shirika la FOCCTZ Bw. Walter Miya katika uzinduzi huo alisema kuwa baada ya kutoa matangazo kupitia redio za jamii mkoani...