Mabingwa wa upasuaji watua MOI
MADAKTARI bingwa wanne kutoka Misri wamewasili nchini juzi kwa ajili kubadilishana uzoefu, ujuzi, kupanua wigo na kukuza uhusiano katika kitengo cha Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) ikiwa ni kampeini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vWmlyQGdVlU/VEonH5v1btI/AAAAAAACtcs/nREPUbJRX00/s72-c/1.jpg)
MOI yajiimarisha katika utoaji huduma muhimu za Tiba na Upasuaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-vWmlyQGdVlU/VEonH5v1btI/AAAAAAACtcs/nREPUbJRX00/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE NA HUDUMA ZA JAMII YATEMBELEA TAASISI YA TIBA YA MIFUPA , UPASUAJI WA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU (MOI)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n7DsnPd7bHU/XnNUUy2jTCI/AAAAAAALkbE/UO0ZoGFduZ4ff3k2lRHDJtMdqxsbaUXQwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B1.29.27%2BPM.jpeg)
MTAMBO WA KISASA WA KUVUNJA MAWE KWENYE MFUMO WA MKOJO BILA UPASUAJI WATUA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA
Huduma hiyo imezinduliwa baada ya kuwasili kwa mtambo wa kisasa unaotumia mionzi katika kufanya huduma hiyo tofauti na awali ambapo wagonjwa walikua wakifanyiwa upasuaji.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Dkt. Alphonce Chandika amesema huduma hiyo itafanyika kwa mara...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi
10 years ago
Mtanzania07 Sep
Mkapa amzungumzia Moi
![Benjamin Mkapa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Benjamin-Mkapa.jpg)
Benjamin Mkapa
NA BENJAMIN MKAPA
NINAFURAHI na kushukuru kwa kupata fursa hii ya kutoa salamu na pongezi zangu za dhati kwa Rais mstaafu Daniel Toroitich arap Moi wakati akitimiza umri wa miaka 90. Hakika Moi ni nembo, mtu mashuhuri na kizazi adimu cha viongozi wa Afrika.
Kwa karibu miaka minane, tulifanya kazi kwa karibu na kwa amani kama viongozi wa nchi zetu; Kenya na Tanzania, na katika muktadha wa Ukanda wa Maziwa Makuu, kukuza maendeleo na kuimarisha amani na utulivu.
Tangu mwanzo...
11 years ago
TheCitizen27 May
MOI set for new system
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Daktari feki anaswa MOI
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Dismas Macha, amekamatwa akiwa na nyaraka mbalimbali za Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), baada kubainika ni daktari ‘feki’ katika Kitengo cha Mifupa (MOI), jijini...
10 years ago
GPLMOI TUNAWEZA KWA ZAIDI YA 95%
10 years ago
Vijimambo01 Nov
MOI: Hatuwakati miguu majeruhi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/moi-nov1-2014.jpg)
Kwa muda mrefu sasa, umekuwepo uvumi kwamba Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili(MOI), imekuwa ikiwakata viungo majeruhi wa ajali za bodaboda hasa madereva kama njia ya kuwakomesha.
Tuhuma hizo ambazo zimekanushwa vikali na taasisi hiyo, zilidai kuwa kutokana na majeruhi wa pikipiki kuongezeka, madaktari huamua kuwakata viungo kama miguu.
Matokeo yake, ikadaiwa kuwa baadhi ya ndugu na jamaa wa majeruhi hao huamua kuwapeleka majeruhi katika hospitali binafsi.
Hata hivyo, taasisi hiyo ilisema...