Daktari feki anaswa MOI
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Dismas Macha, amekamatwa akiwa na nyaraka mbalimbali za Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), baada kubainika ni daktari ‘feki’ katika Kitengo cha Mifupa (MOI), jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDAKTARI FEKI AKAMATWA KATIKA TAASISI YA MIFUPA MUHIMBILI ( MOI )
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Daktari feki anaswa Hospitali ya Muhimbili
11 years ago
GPLDAKTARI MWINGINE FEKI ANASWA HOSPITALI YA RUFAA MORO
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Daktari wa ‘kichina’ anaswa Babati
WATU saba wametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi mkoani Manyara, akiwemo daktari bandia na wengine katika mtandao wa wizi wa magari uliyotokea jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti. Kamanda...
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Daktari feki akamatwa Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Daktari feki akamatwa Moro
JESHI la Polisi mkoani Morogoro, linamshikilia Karume Kanzu (22), kwa tuhuma za kujifanya daktari wa hospitali kuu mkoani hapa na kuhudumia wagonjwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo,...
9 years ago
Habarileo15 Aug
Daktari feki atibu watu 20
JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi wa Katesh katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Mohammed Abdallah (35), baada ya kukutwa akitoa huduma za kidaktari ambazo hana utaalamu wake.
11 years ago
Mwananchi12 Jul
Daktari feki akamatwa hospitali ya Morogoro
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Afariki baada ya kutibiwa na daktari feki Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu
MKULIMA na mkazi wa kijiji cha Iyumbu tarafa ya Sepuka wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Jubulu Mahende,amefariki dunia muda mfupi baada ya kupewa matibabu na mtu anayedaiwa kuwa ni daktari feki.
Imedaiwa kuwa Jubulu aliyekuwa akisumbuliwa na kifua, kiuno na mgongo alizidishiwa dawa kitendo kilichopelekea hali yake kuwa mbaya zaidi.
Daktari huyo ambaye amekiri hana cheti cha aina yo yote kutoka vyuo vya...