MOI set for new system
>The Muhimbili Orthopedic Institute (MOI) will soon introduce a non-incision treatment called CyberKnife surgery, a technology that operates without a cut. CyberKnife is the world’s first and only robotic radiosurgery system designed to noninvasively treat tumours throughout the body.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
IPPmedia19 Jan
TPC set to start physical address system
TPC set to start physical address system
IPPmedia
Tanzania Posts Corporation (TPC) has called for full cooperation from the public as it starts implementation of physical address and post code system in Dar es Salaam. The corporation's Acting General Manager Business Management, Fadya Zam, said ...
11 years ago
TheCitizen02 Jun
EDITORIAL: Let education system set relevance as a priority
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi
10 years ago
Mtanzania07 Sep
Mkapa amzungumzia Moi
Benjamin Mkapa
NA BENJAMIN MKAPA
NINAFURAHI na kushukuru kwa kupata fursa hii ya kutoa salamu na pongezi zangu za dhati kwa Rais mstaafu Daniel Toroitich arap Moi wakati akitimiza umri wa miaka 90. Hakika Moi ni nembo, mtu mashuhuri na kizazi adimu cha viongozi wa Afrika.
Kwa karibu miaka minane, tulifanya kazi kwa karibu na kwa amani kama viongozi wa nchi zetu; Kenya na Tanzania, na katika muktadha wa Ukanda wa Maziwa Makuu, kukuza maendeleo na kuimarisha amani na utulivu.
Tangu mwanzo...
10 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Mabingwa wa upasuaji watua MOI
MADAKTARI bingwa wanne kutoka Misri wamewasili nchini juzi kwa ajili kubadilishana uzoefu, ujuzi, kupanua wigo na kukuza uhusiano katika kitengo cha Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) ikiwa ni kampeini...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Daktari feki anaswa MOI
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Dismas Macha, amekamatwa akiwa na nyaraka mbalimbali za Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), baada kubainika ni daktari ‘feki’ katika Kitengo cha Mifupa (MOI), jijini...
10 years ago
Vijimambo01 Nov
MOI: Hatuwakati miguu majeruhi
Kwa muda mrefu sasa, umekuwepo uvumi kwamba Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili(MOI), imekuwa ikiwakata viungo majeruhi wa ajali za bodaboda hasa madereva kama njia ya kuwakomesha.
Tuhuma hizo ambazo zimekanushwa vikali na taasisi hiyo, zilidai kuwa kutokana na majeruhi wa pikipiki kuongezeka, madaktari huamua kuwakata viungo kama miguu.
Matokeo yake, ikadaiwa kuwa baadhi ya ndugu na jamaa wa majeruhi hao huamua kuwapeleka majeruhi katika hospitali binafsi.
Hata hivyo, taasisi hiyo ilisema...
10 years ago
GPLMOI TUNAWEZA KWA ZAIDI YA 95%
11 years ago
Mwananchi17 May
Madaktari Bingwa Radiolojia ‘mgogoro’ Moi