Mbunge wa Bunda kutowavumilia watendaji wazembe katika utoaji wa huduma kwa wananchi
Mbunge wa jimbo la Bunda Boniphace Mwita amesema kuwa hatawavumilia watendaji wa serikali na viongozi wa ngazi mbalimbali jimboni humo ambao watashindwa kwenda na kasi ya rais Magufuli kwani hatakuwa tayari kufanyakazi na watu wazembe.
Mbunge huyo wa Bunda ameyasema hayo kwenye kikao elekezi alichokiandaa katika kata ya Nyamuswa kikishirikisha viongozi wa ngazi mbalimbali na watendaji wote wa serikali, ili kila mmoja atambuwe wajibu wake wa kutumikia wananchi.
Mbunge wa Bunda Boniphace...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziHuduma za Afya Zaboreshwa Bunda na Kuondoa Kero kwa Wananchi
Jonas Kamaleki, Bunda
Utoaji wa huduma za Afya umeboreshwa baada ya Serikali kutoa milioni 500 kwa ajili...
10 years ago
Uhuru Newspaper23 Dec
Hizi ni salamu kwa watendaji wazembe
NA KHADIJA MUSSARAIS Jakaya Kikwete, amesema watendaji watakaozembea katika kutelekeza majukumu yao watashughulikiwa kikamilifu. Amesema watendaji wanapaswa kufahamu kuwa serikali ipo na hukasirishwa pindi mambo yanapokwenda kinyume na matarajio. Pia amesema ameridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Waziri wa Tawala na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia, wa kutengua nafasi za wakurugenzi sita, kusimamia wengine na kutoa onyo kali. Akizungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam, jana, Rais Kikwete...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1Ev8NPX7VOE/U5SKkv3tXgI/AAAAAAAFo7k/zCzTkIAKT0c/s72-c/unnamed+(43).jpg)
CUF kutowavumilia watendaji watakaobainika kuendeleza fitna na majungu
![](http://4.bp.blogspot.com/-1Ev8NPX7VOE/U5SKkv3tXgI/AAAAAAAFo7k/zCzTkIAKT0c/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ulw5n0CbIDI/U5SKkzv9lUI/AAAAAAAFo7c/6z4AAmxoHYg/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gi8c2R9fcoo/U5SKkpvtN1I/AAAAAAAFo7Y/5KhlOKJLR-s/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xAingbELBJQ/U5SKlzWmicI/AAAAAAAFo7s/HoWVnpCJb_s/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vWmlyQGdVlU/VEonH5v1btI/AAAAAAACtcs/nREPUbJRX00/s72-c/1.jpg)
MOI yajiimarisha katika utoaji huduma muhimu za Tiba na Upasuaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-vWmlyQGdVlU/VEonH5v1btI/AAAAAAACtcs/nREPUbJRX00/s1600/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yqDlwRKgNyM/Xur-z89WHeI/AAAAAAALuVg/2-8N03mGyygdK65CmgWrgENBF_hLFJvywCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B8.23.10%2BAM.jpeg)
LITTLE YAPANUA WIGO WAKE WA UTOAJI HUDUMA YA USAFIRI KATIKA MIJI YA DODOMA, ARUSHA, MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yqDlwRKgNyM/Xur-z89WHeI/AAAAAAALuVg/2-8N03mGyygdK65CmgWrgENBF_hLFJvywCLcBGAsYHQ/s200/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B8.23.10%2BAM.jpeg)
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
KAMPUNI ya Tax ya kimtandao LITTLE inayotoa huduma za usafiri kwa wateja sasa imepanua wigo wake wa huduma rasmi katika Jiji la Dodoma, Arusha na Mwanza,hiyo ni kutokana na ongezeko kubwa la uhutaji ,
LITTLE ilianzisha huduma zake katika Jiji la Dar es salaam nchini Tanzania mwaka 2019, ilikumuhakikisha urahisi mteja ambaye atapaswa kulipia Sh. 500 kwa kilomita na Sh. 80 kwa dakika atakazotumia.
Akizungumzia upanuzi huo,Mkuu wa Operesheni Little Tanzania Eddsteve...
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA UFUNGAJI WA MFUMO WA KUKUSANYA MAPATO KATIKA MAENEO YA UTOAJI HUDUMA ZA AFYA
NA TIGANYA VINCENT
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuhakikisha wanafunga Mfumo wa ukusanyaji wa mapato kwa katika maeneo yote yanayosuka na utoaji wa huduma za afya ili kuongeza kiwango cha ukusanyaji mapato.
Ukusanyaji wa mapato kwa njia za stakabadhi zilizo katika vitabu zimesababisha baadhi ya mapato kupotea na mengine kuishia mifukoni mwa watumishi wasio waaminifu.
Mwanri ametoa kauli hiyo jan20a wakati wa ukaguzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Barabara Bunda kero kwa wananchi
ABIRIA wanaopita kwenye barabara ya Bunda-Ukerewe, wamelalamikia ubovu wa barabara hiyo na kuiomba serikali kuwaondolea kero hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakiwemo madereva wa magari ya abiria pamoja na mizigo,...
10 years ago
Michuzi28 Apr
MBUNGE NATSE AWATAKA WANANCHI WA KARATU KUJITOKEZA KWA WINGI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![SAM_2291](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zOMv8JkVCbFSkBbIAnHyfn0960gF-QbzBd8w4sg7JjUqZw8tubgWnNuwKX3Vuc-h0ixUIyEP40U7zdzHt-cUkkI451MECd9ayqolqQeVWiMDPF8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2291.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)