Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF kutowavumilia watendaji watakaobainika kuendeleza fitna na majungu

 Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizindua kamati tendaji za Wilaya za Pemba katika ofisi za CUF Wilaya ya Chake Chake. Wajumbe wa  kamati tendaji za Wilaya za Pemba wakianza kikao kwa dua katika ofisi za CUF Wilaya ya Chake Chake.  Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Magharibi Unguja Bi. Raisa Abdallah Mussa, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kamati tendaji kwa Wilaya za Unguja katika ofisi za CUF Wilaya hiyo zilizoko Kilimahewa.  Baadhi ya wajumbe wa kamati tendaji Wilaya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mbunge wa Bunda kutowavumilia watendaji wazembe katika utoaji wa huduma kwa wananchi

Mbunge wa jimbo la Bunda Boniphace Mwita amesema kuwa hatawavumilia watendaji wa serikali na viongozi wa ngazi mbalimbali jimboni humo ambao watashindwa kwenda na kasi ya rais Magufuli kwani hatakuwa tayari kufanyakazi na watu wazembe.

Mbunge huyo wa Bunda ameyasema hayo kwenye kikao elekezi alichokiandaa katika kata ya Nyamuswa kikishirikisha viongozi wa ngazi mbalimbali na watendaji wote wa serikali, ili kila mmoja atambuwe wajibu wake wa kutumikia wananchi.

Mbunge wa Bunda Boniphace...

 

11 years ago

Michuzi

maalim seif awaandalia futari watendaji wa CUF nyumbani kwake Mbweni.

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akipeana mikono  na Sheikh Mohd Khamis (aliyekuwa mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Mjini, baada ya futari aliyowaandalia watendaji wa CUF nyumbani kwake Mbweni. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akibadilishana mawazo na Makamu Mwenyekiti wa CUF, Juma Duni Haji, wakati wa futari aliyowaandalia watendaji wa CUF nyumbani kwake Mbweni. Sheikh Mohd Khamis akiongoza Sala ya Magharibi nyumbani kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Makaidi alalamikia fitna Masasi

Mgombea ubunge Jimbo la Masasi mkoani Mtwara, kwa tiketi ya NLD, Dk Emmanuel Makaidi amesema anahisi harufu ya hujuma, lakini haihofii na ameapa kupambana hadi ashinde.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Ndumbaro epuka soka fitna uchaguzi Simba

KARIBUNI Wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada ni Jumatatu nyingine tena tunakutana kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Wiki iliyopita,...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi watakaobainika kuchochea vurugu kuchunguzwa ICC

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetoa tahadhari kwa viongozi wa ndani na nje ya Serikali watakaodhihirika kuchochea vurugu za kisiasa na kusababisha uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi, watalazimika kuchunguzwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC na kufikishwa mahakamani.

Hatua hiyo inatokana na Tanzania kuwa miongoni mwa nchi wanachama wa Mkataba wa Roma unaoiunda ICC ambapo makosa yanayolengwa na mkataba huo yakitokea nchini, wahusika wa uchochezi au kupanga njama hizo...

 

5 years ago

Michuzi

CHONGOLO AAGIZA POLISI KUWA CHUKULIA HATUA WATAKAOBAINIKA KUCHIMBA MCHANGA KWENYE MITO.


Meneja wa TARURA wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Leopold Runji akitoa maelezo kwa mkuu wa Wilaya hiyo ,Mhe. Daniel Chongolo kuhusu miundombinu ya barabara katika makazi ya TBA muda mfupi baada ya kutoka kukagua mito inayochimbwa mchanga
Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo wakiwa wameshuka kwenye gari na kuelekea kwenye mto salasala kuangalia namna ya kuwadhibiti wananchi wanaochimba mchanga katika mto huo.

 

10 years ago

Bongo Movies

KIMENUKA! Cloud Amfanyia Fitna Frank Mwikongi Deal La Kwenda Kufanya Filamu Uingereza, Ushahidi Wasambaa.

Mambo hadharani !...Haya ni mapya yameibuka leo bila chenga. muigizaji wa filamu nchini Issa Musa "Cloud 112" anadaiwa kumfanyia fitna na majungu star mwenzake wa filamu nchini Frank Mohamed Mwikongi katika deal la kucheza filamu lililotokea nchini Uingereza hivi karibuni.
Kwa ,mujibu wa Didas Fashions ambaye ndiye mtengenezaji wa filamu hiyo ya Mateso Yangu Ughaibuni chaguo la kwanza la filamu hiyo alikuwa ni Frank Mwikongi na walizungumza mwanzo na kuafikiana Frank alipwe mil.2 kama...

 

5 years ago

Michuzi

CORONA YADAIWA KUWAINGIZA WANAFUNZI KATIKA MAPENZI,UONGOZI WA KATA WAJIPANGA KUCHUKUA HATUA KALI WATAKAOBAINIKA


Na Shukrani Kawogo, Njombe

Imeelezwa kuwa kutokana na wanafunzi kuwepo katika kipindi hiki cha likizo kutokana na ugonjwa wa Corona imepelekea wanafunzi hao kuzagaa vichakani na kujihusisha na masuala ya kimapenzi kitu ambacho kinarudisha nyuma maendeleo ya wanafunzi hao.

Hayo yameelezwa na wananchi wa Kata ya Ibumi wilayani Ludewa Mkoani Njombe katika mkutano wa kujadili maenendeleo ya kata hiyo ulioongozwa na diwani wao Edward Haule ambaye pia ni mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya...

 

11 years ago

GPL

JB ATESWA NA MAJUNGU

Na Imelda Mtema
BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’ amenyanyua kinywa chake na kutamka kuwa anateswa na majungu katika fani hivyo angekuwa na mbadala wa kazi, angechepuka. BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’ Akistorisha na gazeti hili hivi karibuni, JB alisema licha ya umri wake mkubwa katika tasnia ya filamu lakini suala la majungu limekuwa likimtesa na mbaya zaidi ni ngumu kulidhibiti. “Kusema ukweli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani