KIMENUKA! Cloud Amfanyia Fitna Frank Mwikongi Deal La Kwenda Kufanya Filamu Uingereza, Ushahidi Wasambaa.
Mambo hadharani !...Haya ni mapya yameibuka leo bila chenga. muigizaji wa filamu nchini Issa Musa "Cloud 112" anadaiwa kumfanyia fitna na majungu star mwenzake wa filamu nchini Frank Mohamed Mwikongi katika deal la kucheza filamu lililotokea nchini Uingereza hivi karibuni.
Kwa ,mujibu wa Didas Fashions ambaye ndiye mtengenezaji wa filamu hiyo ya Mateso Yangu Ughaibuni chaguo la kwanza la filamu hiyo alikuwa ni Frank Mwikongi na walizungumza mwanzo na kuafikiana Frank alipwe mil.2 kama...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0085.jpg?width=650)
MWIGIZAJI MOHAMED MWIKONGI 'FRANK' ALIVYOTUA ACT NA KUKABISHIWA KADI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYrXaN4bhrO76GYZKVFZXlBNE2OIgpponWVKModwgx717v*ymdIrs2E*OLiLUPvYfBB3KhgLwinacGoFVtwvQbyI/FRANK.jpg?width=650)
CLOUD AKANA KUMFITINI FRANK
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqu3RoKHty-0uI7Poy7UcX21P4uPoUvbamgmpivXoP8Y1hj*jm4X1eKvLkVxATf6gsNNOlRvq1NUixo*SzxROrD/cludi.jpg)
CLOUD: WEZI WA FILAMU WAFUNGWE MIAKA 10
9 years ago
Bongo Movies28 Sep
Frank Kustaafu Filamu
Staa mkongwe wa bongo Movies, Mohammed Mwikongwi ‘Frank’ amesema atastaafu fani ya uchezaji wa filamu endapo atashinda kiti cha ubunge cha jimbo la Segerea, Dar es Salaam katika muchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
‘Frank’ ambaye anagombea kiti hicho kwa tiketi ya ACT alisema akishinda hatojihusisha na filamu kwani hatowezakufanya mambo mawilikwa wakati mmoja.
Frank ni mmoja wa wasanii wawili wa filamu wanaogombea Ubunge akiwemo ‘Kingwendu’ anayewania ubunge kwa tiketi ya CUF huko...
9 years ago
Bongo Movies25 Aug
Frank: Soko la Filamu Linatisha
Msanii mahiri katika tasnia ya uigizaji, Mohammed Mwikongi ‘Frank’, amesema anapenda sana kufanya kazi ya uigizaji lakini soko la Tanzania linamkatisha tamaa ya kufanya kazi hiyo.
Frank alisema, amekuwa kimya kwasababu ya soko la uzambazaji kuharibiwa na baadhi ya wadau na wasambazaji wa filamu Tanzania.
Alisema mpaka sasa ameshaandaa muvi tano lakini anashidwa kuzitoa kutokana na kutoridhishwa na soko la uuzaji wa filamu .
“Kazi ya sanaa ndio kazi yangu ninayoitegemea kuendesha familia...
10 years ago
GPLCLOUD NA WENZAKE KUZINDUA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ ILIYOREKODIWA UINGEREZA
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-RGeCwPlDsQE/VV9pGyRJNrI/AAAAAAAABps/FPid0WxdKzM/s72-c/maxresdefault%2B%25281%2529.jpg)
STEVEN GERRARD NA FRANK LAMPARD KUIAGA LIGI YA UINGEREZA WEEKEND HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-RGeCwPlDsQE/VV9pGyRJNrI/AAAAAAAABps/FPid0WxdKzM/s640/maxresdefault%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Mwanahabari Frank kibiki awataka vijana kufanya kazi kwa bidii na kutumia fursa zinazotolewa na serikali
Mwanahabari Frank Kibiki akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Na Mwandishi wetu, Iringa
MWANAHABARI Frank Kibiki, aliyewahi kuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) ngazi ya wilaya kwa zaidi ya miaka 10.
Akizungumza na mtandao huu mwanahabari Frank Kibiki, alisema kuwa vijana wengi wamekuwa wakibweteka kwa kutojituma kufanya kazi na kuendelea kuilaumu serikali.
“Eti asubuhi unawakuta vijana wamekaa kwenye vijiwe wakizungumza siasa na kucheza mabao wakati...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Wanajeshi Uingereza kwenda Sierra Leone