STEVEN GERRARD NA FRANK LAMPARD KUIAGA LIGI YA UINGEREZA WEEKEND HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-RGeCwPlDsQE/VV9pGyRJNrI/AAAAAAAABps/FPid0WxdKzM/s72-c/maxresdefault%2B%25281%2529.jpg)
Vitabu vya historia vya ligi kuu ya England hususan timu za Chelsea na Liverpool vinatarajia kufungwa mwishoni mwa wiki hii wakati ambapo wachezaji wawili wa zamani wa timu ya taifa ya England watakapokuwa wanazichezea klabu zao kwa mara moja ya mwisho .Frank Lampard ambaye anacheza kwa mkopo kwenye klabu ya Manchester City toka klabu ya New York City Fc iliyomsajili toka Chelsea na mwenzie Steven Gerard wa Liverpool wanatarajiwa kupunga mkono wa kwaheri kwa ligi kuu ambapo watakuwa...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zM1Unn6f9eI/VUXQ_d2Z64I/AAAAAAABNQs/oXt5XN9ql3M/s72-c/283D482600000578-3065401-image-a-172_1430582855813.jpg)
LIGI KUU UINGEREZA, STEVEN GERALD ACHANGIA USHINDI WA LIVERPOOL KUIFUNGA QPR 2-1
![](http://2.bp.blogspot.com/-zM1Unn6f9eI/VUXQ_d2Z64I/AAAAAAABNQs/oXt5XN9ql3M/s1600/283D482600000578-3065401-image-a-172_1430582855813.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XePcKs6H6uo/VUXRAZKjk1I/AAAAAAABNQw/KrhfCVGiHHw/s1600/283D230600000578-3065401-image-a-167_1430582459604.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tnYjEiDwACA/VUXRADtX6kI/AAAAAAABNQ4/9t1mylILsYU/s1600/283C79FA00000578-0-image-a-100_1430578095609.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Ratiba ya Ligi mbalimbali Barani Ulaya weekend hii!
Mitanange itakayopigwa leo huko Ulaya katika ligi kuu za Soka..
Michezo ya EPL.
Ungana na mchambuzi mahiri na mwanamichezo wa mtandao huu, Rabi Hume ambaye atakuwa akikupatia matokeo na habari kemkem za michezo ya soka kutoka sehemu mbaalimbali Duniani.
Kama una taarifa za michezo ikiwemo mpira wa miguu na habari zingine waweza kuwasiliana naye kupitia email za mtandao hapo juu ama kupitia simu yake: 07692441355 au email:rabbif.hume@gmail.com
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Frank Lampard kuaga Chelsea
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Steven Gerrard akaribishwa LA
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Frank Lampard kusalia Manchester City
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Frank Lampard afunga ndoa London
Frank Lampard akimbusu mke wake Christine Bleakley baada ya kufunga ndoa jana Jumapili London.
Christine Bleakley akiwapungia mkono marafiki zake (hawapo pichani) baada ya kufika kanisani.
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Steven Gerrard aibeba Liverpool FA
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Steven Gerrard kuihama Liverpool
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo