Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo

Nahodha wa Liverpool Steven Gerrard kufanyiwa vipimo vya kuchunguza jeraha la nyama za paja alilolipata.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard akaribishwa LA

Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Kobe Brayant amemtumia ujumbe nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard

 

11 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard astaafu soka

Nahodha wa England na Liverpool Steven Gerrard ametundika daruga akiwa na miaka 34

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard aibeba Liverpool FA

Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao 2-1 dhidi ya Wimbledon katika mchezo FA

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard kuihama Liverpool

Mchezaji kipenzi wa timu ya Liverpool ya ligi kuu ya England anatarajiwa kuachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard ammwagia sifa Rodgers

Nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard amemsifu Kocha wa Liverpool kuwa Kocha bora katika kufanya naye kazi

 

10 years ago

Africanjam.Com

STEVEN GERRARD TO WEAR NO.8 JERSEY FOR LA GALAXY

Steven Gerrard smiles as he holds his new LA Galaxy shirt in front of the Hollywood sign

Former Liverpool captain Steven Gerrard looked every inch the star attraction as he posed with his new LA Galaxy shirt in front of the Hollywood sign on Friday.The Reds legend left Merseyside at the end of last season, having spending his entire career at Anfield, in order to finish his career in the MLS with reigning champions LA Galaxy.The US club released a first official picture of the 35-year-old...

 

9 years ago

Dewji Blog

Steven Gerrard kustaafu soka 2016

Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard

Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard.

Na Rabi Hume

Kiungo wa zamani wa timu taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool, Steven Gerrard ameweka wazi mipango yake ya kustaafu kucheza soka mwaka 2016 baada ya kukamilika ligi kuu ya Marekani msimu wa mwaka 2016.

Gerrard, 35 amesema anadhani mwaka 2016 ni mwaka sahihi kwa yeye kupumzika kucheza soka na hatapenda mwaka wake wa mwisho kucheza...

 

9 years ago

Bongo5

Steven Gerrard arudi Liverpool kujiweka fiti zaidi

gerrard4

Nahodha wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard amerudi katika mji wake wa nyumbani kufanya mazoezi na timu yake ya zamani tangu umalizike msimu wa Major League Soccer na timu ya LA Galaxy ya Marekani. Amekaribishwa na kocha Jurgen Klopp siku ya Jumatatu.

gerrard1
Steven Gerrard akielekea Melwood, Liverpool kufanya mazoezi

Mjerumani huyo amefanikiwa kumaliza mazungumzo haraka kuhusu kumrudisha Gerrard Anfield – kwani anarudi klabuni kufanya mazoezi.

klopp
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp akiwasili katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jurgen Klopp: Milango ipo wazi Steven Gerrard

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa  ya Wingereza na Liverpool, Steven Gerrard

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool, Steven Gerrard.

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.

Na Rabi Hume

Siku moja baada ya kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya Marekani, Steven Gerrard kuweka wazi mipango yake ya kutaka kustafu soka 2016, Kocha wa klabu yake ya zamani ya Liverpool, Jurgen Klopp amemwambia mchezaji huyo milango ya kiungo huyo kujiunga na Liverpool iko wazi.

Klopp amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani