Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Steven Gerrard arudi Liverpool kujiweka fiti zaidi

gerrard4

Nahodha wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard amerudi katika mji wake wa nyumbani kufanya mazoezi na timu yake ya zamani tangu umalizike msimu wa Major League Soccer na timu ya LA Galaxy ya Marekani. Amekaribishwa na kocha Jurgen Klopp siku ya Jumatatu.

gerrard1
Steven Gerrard akielekea Melwood, Liverpool kufanya mazoezi

Mjerumani huyo amefanikiwa kumaliza mazungumzo haraka kuhusu kumrudisha Gerrard Anfield – kwani anarudi klabuni kufanya mazoezi.

klopp
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp akiwasili katika...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard aibeba Liverpool FA

Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao 2-1 dhidi ya Wimbledon katika mchezo FA

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard kuihama Liverpool

Mchezaji kipenzi wa timu ya Liverpool ya ligi kuu ya England anatarajiwa kuachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Gerrard arudi Liverpool

Steven Gerrard amezungumza na Jurgen Klopp kujadili uwezekano wa wa kurudi kuichezea Liverpool wakati wa mapumziko ya Ligi Kuu Marekani (MLS).

 

10 years ago

Africanjam.Com

STEVEN GERRARD WARNS RAHEEM STERLING ABOUT LEAVING LIVERPOOL

Steven Gerrard has warned Raheem Sterling his career could stall if he leaves Liverpool.It’s looking increasingly likely the England international’s time at Anfield will come to an end this summer with contract talks have broken down in acrimonious fashion, with his agent, Aidy Ward, claiming his client wouldn’t sign a new deal even for £900,000 a week.
But Gerrard, who himself called time on his career on Merseyside at the end of the season, fears the 20-year-old could live to regret his...

 

5 years ago

Liverpool Echo

Steven Gerrard, Robbie Fowler and Liverpool's best Academy graduates of the Premier League era ranked

Steven Gerrard, Robbie Fowler and Liverpool's best Academy graduates of the Premier League era ranked  Liverpool Echo'Liverpool deserve the title' - Voiding the season would be 'unfair' on the Reds, says Berbatov  Goal.comRonaldo and Messi Are Role Models in the Pandemic  BloombergJamie Carragher's Premier League team of the season  Sky SportsAre Liverpool cursed? Gerrard slip, coronavirus pandemic & Premier League title run cruel twists of fate  Goal.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Michuzi

MHANI:WACHEZAJI JIFUENI MAJUMBANI KUJIWEKA FITI WAKATI MKIJIKINGA NA CORONA

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMCHEZAJI mkongwe aliyewahi kucheza katika vilabu mbalimbali nchini ikiwemo timu ya Taifa (Taifa Starts), Douglas Mhani, amewataka wachezaji kufanya mazoezi binafsi ili kujiweka fiti.
Mhani alitoa rai hiyo mkoani hapa,ambapo alisema tangu ugonjwa wa corona uingie nchini, hatua mbalimbali zinachukuliwa na serikali kuhakikisha tunapambana nao, huku madaktari bingwa ulimwenguni wakiendelea kutafuta tiba.
"Tangu kuibuka kwa ugonjwa huo wa Corona hatua mbalimbali zimekuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard akaribishwa LA

Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Kobe Brayant amemtumia ujumbe nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo

Nahodha wa Liverpool Steven Gerrard kufanyiwa vipimo vya kuchunguza jeraha la nyama za paja alilolipata.

 

11 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard astaafu soka

Nahodha wa England na Liverpool Steven Gerrard ametundika daruga akiwa na miaka 34

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani