Steven Gerrard astaafu soka
Nahodha wa England na Liverpool Steven Gerrard ametundika daruga akiwa na miaka 34
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Steven Gerrard kustaafu soka 2016
Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard.
Na Rabi Hume
Kiungo wa zamani wa timu taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool, Steven Gerrard ameweka wazi mipango yake ya kustaafu kucheza soka mwaka 2016 baada ya kukamilika ligi kuu ya Marekani msimu wa mwaka 2016.
Gerrard, 35 amesema anadhani mwaka 2016 ni mwaka sahihi kwa yeye kupumzika kucheza soka na hatapenda mwaka wake wa mwisho kucheza...
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Steven Gerrard akaribishwa LA
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Steven Gerrard kuihama Liverpool
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Steven Gerrard aibeba Liverpool FA
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-lJ1u1EXRRWo/VZfsrQ6kdwI/AAAAAAAACbk/Hzd_-P6Y6Xo/s72-c/Gerrard-jezi.jpg)
STEVEN GERRARD TO WEAR NO.8 JERSEY FOR LA GALAXY
![](http://4.bp.blogspot.com/-lJ1u1EXRRWo/VZfsrQ6kdwI/AAAAAAAACbk/Hzd_-P6Y6Xo/s400/Gerrard-jezi.jpg)
Former Liverpool captain Steven Gerrard looked every inch the star attraction as he posed with his new LA Galaxy shirt in front of the Hollywood sign on Friday.The Reds legend left Merseyside at the end of last season, having spending his entire career at Anfield, in order to finish his career in the MLS with reigning champions LA Galaxy.The US club released a first official picture of the 35-year-old...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Steven Gerrard ammwagia sifa Rodgers
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-qm-kfk7GOFQ/VZ9kmGBRoeI/AAAAAAAAChY/fPpn2-etO9U/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
STEVEN GERRARD WARNS RAHEEM STERLING ABOUT LEAVING LIVERPOOL
![](http://3.bp.blogspot.com/-qm-kfk7GOFQ/VZ9kmGBRoeI/AAAAAAAAChY/fPpn2-etO9U/s400/images%2B%25281%2529.jpg)
But Gerrard, who himself called time on his career on Merseyside at the end of the season, fears the 20-year-old could live to regret his...
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Jurgen Klopp: Milango ipo wazi Steven Gerrard
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool, Steven Gerrard.
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.
Na Rabi Hume
Siku moja baada ya kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya Marekani, Steven Gerrard kuweka wazi mipango yake ya kutaka kustafu soka 2016, Kocha wa klabu yake ya zamani ya Liverpool, Jurgen Klopp amemwambia mchezaji huyo milango ya kiungo huyo kujiunga na Liverpool iko wazi.
Klopp amesema...