Steven Gerrard kuihama Liverpool
Mchezaji kipenzi wa timu ya Liverpool ya ligi kuu ya England anatarajiwa kuachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Steven Gerrard aibeba Liverpool FA
9 years ago
Bongo501 Dec
Steven Gerrard arudi Liverpool kujiweka fiti zaidi
![gerrard4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/gerrard4-300x194.jpg)
Nahodha wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard amerudi katika mji wake wa nyumbani kufanya mazoezi na timu yake ya zamani tangu umalizike msimu wa Major League Soccer na timu ya LA Galaxy ya Marekani. Amekaribishwa na kocha Jurgen Klopp siku ya Jumatatu.
Steven Gerrard akielekea Melwood, Liverpool kufanya mazoezi
Mjerumani huyo amefanikiwa kumaliza mazungumzo haraka kuhusu kumrudisha Gerrard Anfield – kwani anarudi klabuni kufanya mazoezi.
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp akiwasili katika...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-qm-kfk7GOFQ/VZ9kmGBRoeI/AAAAAAAAChY/fPpn2-etO9U/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
STEVEN GERRARD WARNS RAHEEM STERLING ABOUT LEAVING LIVERPOOL
![](http://3.bp.blogspot.com/-qm-kfk7GOFQ/VZ9kmGBRoeI/AAAAAAAAChY/fPpn2-etO9U/s400/images%2B%25281%2529.jpg)
But Gerrard, who himself called time on his career on Merseyside at the end of the season, fears the 20-year-old could live to regret his...
5 years ago
Liverpool Echo07 Apr
Steven Gerrard, Robbie Fowler and Liverpool's best Academy graduates of the Premier League era ranked
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Steven Gerrard akaribishwa LA
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Steven Gerrard astaafu soka
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Steven Gerrard kustaafu soka 2016
Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard.
Na Rabi Hume
Kiungo wa zamani wa timu taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool, Steven Gerrard ameweka wazi mipango yake ya kustaafu kucheza soka mwaka 2016 baada ya kukamilika ligi kuu ya Marekani msimu wa mwaka 2016.
Gerrard, 35 amesema anadhani mwaka 2016 ni mwaka sahihi kwa yeye kupumzika kucheza soka na hatapenda mwaka wake wa mwisho kucheza...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Steven Gerrard ammwagia sifa Rodgers