Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Steven Gerrard ammwagia sifa Rodgers

Nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard amemsifu Kocha wa Liverpool kuwa Kocha bora katika kufanya naye kazi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard akaribishwa LA

Mchezaji maarufu wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Kobe Brayant amemtumia ujumbe nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Rodgers:Hakuna kama Gerrard





KOCHA wa Mkuu wa Liverpool, Brendan Rodgers, amesema hakuna mchezaji anayeweza kuchukua nafasi ya nahodha Steven Gerrard.Rodgers alisema kuondoka kwa Gerrard katika kikosi hicho ni pengo kubwa kwa kuwa nahodha huyo alikuwa hodari na mtu aliyejituma.Kocha huyo alisema mchezaji huyo alikuwa ni moja ya wachezaji ambao wameisaidia Liverpool kupata mafanikio makubwa."Kuna wachezaji wengi na wazuri England, lakini  Liverpool haiwezi kupata mchezaji mzuri kama Gerrard ambaye hawezi kufananishwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

B.Rodgers:Wacheni kumtegemea Gerrard

Mkufunzi wa Liverpool Brenda Rodgers amewaonya wachezaji wake dhidi ya kumtegemea nahodha wa timu hiyo Steven Gerrard kila mechi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard astaafu soka

Nahodha wa England na Liverpool Steven Gerrard ametundika daruga akiwa na miaka 34

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo

Nahodha wa Liverpool Steven Gerrard kufanyiwa vipimo vya kuchunguza jeraha la nyama za paja alilolipata.

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard kuihama Liverpool

Mchezaji kipenzi wa timu ya Liverpool ya ligi kuu ya England anatarajiwa kuachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard aibeba Liverpool FA

Nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao 2-1 dhidi ya Wimbledon katika mchezo FA

 

10 years ago

Africanjam.Com

STEVEN GERRARD TO WEAR NO.8 JERSEY FOR LA GALAXY

Steven Gerrard smiles as he holds his new LA Galaxy shirt in front of the Hollywood sign

Former Liverpool captain Steven Gerrard looked every inch the star attraction as he posed with his new LA Galaxy shirt in front of the Hollywood sign on Friday.The Reds legend left Merseyside at the end of last season, having spending his entire career at Anfield, in order to finish his career in the MLS with reigning champions LA Galaxy.The US club released a first official picture of the 35-year-old...

 

9 years ago

Dewji Blog

Steven Gerrard kustaafu soka 2016

Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard

Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard.

Na Rabi Hume

Kiungo wa zamani wa timu taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool, Steven Gerrard ameweka wazi mipango yake ya kustaafu kucheza soka mwaka 2016 baada ya kukamilika ligi kuu ya Marekani msimu wa mwaka 2016.

Gerrard, 35 amesema anadhani mwaka 2016 ni mwaka sahihi kwa yeye kupumzika kucheza soka na hatapenda mwaka wake wa mwisho kucheza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani