Steven Gerrard ammwagia sifa Rodgers
Nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard amemsifu Kocha wa Liverpool kuwa Kocha bora katika kufanya naye kazi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Steven Gerrard akaribishwa LA
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-VockhVywqyk/VVii_KLDtdI/AAAAAAAACG8/6rztfePEkQA/s72-c/gerrard.jpg)
Rodgers:Hakuna kama Gerrard
![](http://2.bp.blogspot.com/-VockhVywqyk/VVii_KLDtdI/AAAAAAAACG8/6rztfePEkQA/s400/gerrard.jpg)
KOCHA wa Mkuu wa Liverpool, Brendan Rodgers, amesema hakuna mchezaji anayeweza kuchukua nafasi ya nahodha Steven Gerrard.Rodgers alisema kuondoka kwa Gerrard katika kikosi hicho ni pengo kubwa kwa kuwa nahodha huyo alikuwa hodari na mtu aliyejituma.Kocha huyo alisema mchezaji huyo alikuwa ni moja ya wachezaji ambao wameisaidia Liverpool kupata mafanikio makubwa."Kuna wachezaji wengi na wazuri England, lakini Liverpool haiwezi kupata mchezaji mzuri kama Gerrard ambaye hawezi kufananishwa na...
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
B.Rodgers:Wacheni kumtegemea Gerrard
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Steven Gerrard astaafu soka
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Steven Gerrard Kufanyiwa vipimo
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Steven Gerrard kuihama Liverpool
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Steven Gerrard aibeba Liverpool FA
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-lJ1u1EXRRWo/VZfsrQ6kdwI/AAAAAAAACbk/Hzd_-P6Y6Xo/s72-c/Gerrard-jezi.jpg)
STEVEN GERRARD TO WEAR NO.8 JERSEY FOR LA GALAXY
![](http://4.bp.blogspot.com/-lJ1u1EXRRWo/VZfsrQ6kdwI/AAAAAAAACbk/Hzd_-P6Y6Xo/s400/Gerrard-jezi.jpg)
Former Liverpool captain Steven Gerrard looked every inch the star attraction as he posed with his new LA Galaxy shirt in front of the Hollywood sign on Friday.The Reds legend left Merseyside at the end of last season, having spending his entire career at Anfield, in order to finish his career in the MLS with reigning champions LA Galaxy.The US club released a first official picture of the 35-year-old...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Steven Gerrard kustaafu soka 2016
Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Wingereza na Liverpool anayekipiga kwa sasa katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard.
Na Rabi Hume
Kiungo wa zamani wa timu taifa ya Uingereza na klabu ya Liverpool, Steven Gerrard ameweka wazi mipango yake ya kustaafu kucheza soka mwaka 2016 baada ya kukamilika ligi kuu ya Marekani msimu wa mwaka 2016.
Gerrard, 35 amesema anadhani mwaka 2016 ni mwaka sahihi kwa yeye kupumzika kucheza soka na hatapenda mwaka wake wa mwisho kucheza...