Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


B.Rodgers:Wacheni kumtegemea Gerrard

Mkufunzi wa Liverpool Brenda Rodgers amewaonya wachezaji wake dhidi ya kumtegemea nahodha wa timu hiyo Steven Gerrard kila mechi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Rodgers:Hakuna kama Gerrard





KOCHA wa Mkuu wa Liverpool, Brendan Rodgers, amesema hakuna mchezaji anayeweza kuchukua nafasi ya nahodha Steven Gerrard.Rodgers alisema kuondoka kwa Gerrard katika kikosi hicho ni pengo kubwa kwa kuwa nahodha huyo alikuwa hodari na mtu aliyejituma.Kocha huyo alisema mchezaji huyo alikuwa ni moja ya wachezaji ambao wameisaidia Liverpool kupata mafanikio makubwa."Kuna wachezaji wengi na wazuri England, lakini  Liverpool haiwezi kupata mchezaji mzuri kama Gerrard ambaye hawezi kufananishwa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard ammwagia sifa Rodgers

Nahodha wa timu ya Liverpool Steven Gerrard amemsifu Kocha wa Liverpool kuwa Kocha bora katika kufanya naye kazi

 

9 years ago

BBCSwahili

Mugabe:Wacheni kugombania kiti changu

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amewataka wanasiasa kukoma mara moja kugombania kile alichokitaja kiti chake cha urais.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rodgers kusalia Anfield

Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers atia sahihi kandarasi ya muda zaidi Anfield.

 

10 years ago

Vijimambo

RODGERS EXPORTS LLC



RODGERS EXPORTS LLCWE ARE EXPERTS IN SHIPPING OF ALL GOODS FROM USA TO TANZANIA.
OUR NEXT CONTAINER WILL BE LEAVING THE USA TO TANZANIA ON NOVEMBER 15, 2014.  THE ESTIMATED ARRIVAL TIME OF THIS CONTAINER IN TANZANIA WILL BE IN NINETY (90) DAYS.
RODGERS EXPORTS LLC WILL BE COLLECTING GOODS IN THE FOLLOWING STATES:                         MA,CT,NY,NJ,PA, DL, AND THE DMV AREAS ON OCTOBER 29TH-NOVEMBER 2ND, 2014.  
COLLECTING GOODS IN THE MID-WEST:   OH, IN, IL,MO,KS. N0VEMBER 8 TH-10 CONTACT  HAJI...

 

10 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers kuondoka Liverpool?

Kocha wa klabu ya Liverpool, England Brendan Rodgers amesema yupo tayari kuondoka iwapo wamiliki watamtaka kufanya hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rodgers''Liverpool itamaliza ya pili''

Liverpool itaipiku Manchester City katika nafasi ya pili msimu huu amesema kocha wa timu hiyo Brendan Rodgers

 

9 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers afukuzwa Liverpool

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza Meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu.

 

10 years ago

TheCitizen

Liverpool now clicking into gear, says Rodgers

Brendan Rodgers claimed Liverpool are hitting top gear at the right time as they booked their place in the FA Cup quarter-finals.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani