Mugabe:Wacheni kugombania kiti changu
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amewataka wanasiasa kukoma mara moja kugombania kile alichokitaja kiti chake cha urais.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Tibaijuka:Nitatetea kiti changu
Tibaijuka aliwaonya wapinzani wake wa kisiasa kwamba yeye ndiyo chagua bora la wapiga kura.
10 years ago
Vijimambo28 Dec
TIBAIJUKA NITATETEA KITI CHANGU
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/28/141128080706_tibaijuka_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Tibaijuka alipigwa kalamu kutokana na maadili yake kufuatia kashfa ya akaunti ya tageta...
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mugabe kutafutiwa kiti cha magurudumu
Mkewe rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ,Grace, amekanusha madai kuwa anapania kuwania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
B.Rodgers:Wacheni kumtegemea Gerrard
Mkufunzi wa Liverpool Brenda Rodgers amewaonya wachezaji wake dhidi ya kumtegemea nahodha wa timu hiyo Steven Gerrard kila mechi.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hSv4CwwF1CY/VoluFk3KnUI/AAAAAAADEcQ/rICQKvRX4WM/s72-c/p.txt.jpg)
Mikoa yaanza kugombania Tamasha la Pasaka 2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-hSv4CwwF1CY/VoluFk3KnUI/AAAAAAADEcQ/rICQKvRX4WM/s400/p.txt.jpg)
WANANCHI wa mikoa mbalimbali wamejitokeza kuiomba kkampuni ya Msama Promotions ianzie Tamasha la Pasaka mikoa kwao mwaka huu huku wakazi wa dare s salaam wakisisitiza libaki mkoani humo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama ameliambia Gazeti hili kuwa, tayari amepokea maombi toka kwa wananchi na mashabiki wa mikoa ya Morogoro, Mwanza, Mbeya, Dodoma na Dar es Salaam wakitaka tamasha hilo lianzie kwao mwaka huu.
“Kamati yangu inafuata taratibu za Baraza la...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E-oLuiUpMg0/VSfhaZxZycI/AAAAAAAA6T8/DU-TcQvrDS4/s72-c/D.jpg)
MHE. MAALIM SEIF AMEWATAKA WAISLAMU NCHINI KUACHANA NA TABIA YA KUGOMBANIA MISIKITI
![](http://1.bp.blogspot.com/-E-oLuiUpMg0/VSfhaZxZycI/AAAAAAAA6T8/DU-TcQvrDS4/s1600/D.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S929aXcCdxc/VSfhaNJcrSI/AAAAAAAA6UA/R-J3m3pYkJ4/s1600/D1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CnN-RXAXAAA/VSfhaaN13kI/AAAAAAAA6UM/P8lkoS1eZEY/s1600/D2.jpg)
10 years ago
Michuzi29 May
MWANAHARAKATI BI RITHI HAJI ALI AWATAKA WANAWAKE WENZAKE KUGOMBANIA NAFASI MBALIMBALI ZA UONGOZI
Na Maryam Kidiko-MaelezoZanzibar Mwanaharakati wa Masuala ya Wanawake wa Jimbo la Mwana kwerekwe Bi Rihi Haji Ali amewataka Wanawake wenzake kujitokeza kwa wingi kugombania nafasi mbali mbali za Uongozi ili kuweza kutetea haki zao .
Hayo ameyasema huko Mwanakwerekwe wakati akizungumza na Waandishi wa habari katika suala zima la wanawake kuacha woga na kujitokeza kwa wingi kugombania ili waweze kujisemea wenyewe na kupata haki zao za kimsingi.
Hata hivyo amesema wakati umefika...
Hayo ameyasema huko Mwanakwerekwe wakati akizungumza na Waandishi wa habari katika suala zima la wanawake kuacha woga na kujitokeza kwa wingi kugombania ili waweze kujisemea wenyewe na kupata haki zao za kimsingi.
Hata hivyo amesema wakati umefika...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s72-c/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
PONGEZI KWA CHAMA CHANGU
![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s640/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
Baada ya kuangalia na kufuatilia mikutano ya kampeni kama kada wa chama cha mapinduzi anachukua nafasi hii kukipongeza Chama chake Chama Cha Mapinduzi kwa kuendesha kampeni zilizofuata misingi ya demokrasia, pia nawapongeza mh Dr John P. Magufuri na mama Samia Suluhu kwa kuweza kuzunguka Tanzania nzima kuwafikia watanzania wote kila kona, Ali Shein pia kwa upande wa Zanzibar. Nachukua nafasi hii kuwakumbusha watanzania wenzangu kujitokeza kuwapigia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania