TIBAIJUKA NITATETEA KITI CHANGU
Aliyekuwa waziri wa Ardhi na makao nchini Tanzania Anne Tibaijuka anasema kuwa atatetea kiti chake cha ubunge licha ya kashfa ya EscrowSiku kadhaa tu baada ya rais Kikwete kumfuta kazi Anne Tibaijuka kama waziri wa ardhi,nyumba na makao ,kiongozi huyo amewaambia wakaazi wa bunge lake kwamba hawakumchagua kama waziri bali kama mwakilishi wao wa bunge, kulingana na gazeti la The citizen nchini Tanzania.
Tibaijuka alipigwa kalamu kutokana na maadili yake kufuatia kashfa ya akaunti ya tageta...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Tibaijuka:Nitatetea kiti changu
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mugabe:Wacheni kugombania kiti changu
9 years ago
Bongo506 Nov
Music: Harmonize — Kidonda Changu
![Harmonize - Kidonda Changu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Harmonize-Kidonda-Changu-300x194.jpg)
Harmonize ni msanii mpya katika Bongo Flevani ambae anafanya vizuri kwasasa na single yake ya “Aiyola”. Yupo katika usimamizi wa staa wa muziki, Diamond Platnumz huu ni wimbo wake ambao siyo rasmi umevuja unaitwa “Kidonda Changu” usikilize hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s72-c/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
PONGEZI KWA CHAMA CHANGU
![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s640/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
Baada ya kuangalia na kufuatilia mikutano ya kampeni kama kada wa chama cha mapinduzi anachukua nafasi hii kukipongeza Chama chake Chama Cha Mapinduzi kwa kuendesha kampeni zilizofuata misingi ya demokrasia, pia nawapongeza mh Dr John P. Magufuri na mama Samia Suluhu kwa kuweza kuzunguka Tanzania nzima kuwafikia watanzania wote kila kona, Ali Shein pia kwa upande wa Zanzibar. Nachukua nafasi hii kuwakumbusha watanzania wenzangu kujitokeza kuwapigia...
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Msuva: Msiniharibie kibarua changu
10 years ago
Habarileo09 Dec
Kijiko: Kipaumbele changu Arusha ni kuleta maendeleo
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda Kijiko, amewahakikishia wakazi wa Arusha kuwa atafanyakazi kwa kushirikiana nao bega kwa bega.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ueG4tHen4-4/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Yvone: Baba alitaka kuzima kipaji changu
10 years ago
Bongo516 Mar
Barnaba: Fally Ipupa anakifurahia kipaji changu