Yvone: Baba alitaka kuzima kipaji changu
Licha ya kuwa watu huburudika kupitia sanaa, lakini wazazi wengi wamekuwa wagumu kuwaruhusu watoto wao kuingia kwenye fani hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Mar
Barnaba: Fally Ipupa anakifurahia kipaji changu
9 years ago
Bongo501 Dec
Joh Makini aliamini kipaji changu nilipokuwa na miaka 14 – Nahreel
![761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576-300x194.jpg)
Joh Makini na Nahreel hawajafahamiana jana au juzi – kitambo.
Producer huyo amedai kuwa Joh alikikubali kipaji chake katika utengenezaji wa midundo tangu akiwa na umri wa miaka 14.
“Mtu wa kwanza aliyeniamini ni Joh Makini nilipokuwa na miaka 14. Alipokuja kusikia kazi zangu aliniambia kuwapa watu wanaostahili tu muziki wangu. Aliona kitu ndani yangu tangu mwanzo. Ni mwana familia,” Nahreel ameiambia Blog ya Coke Studio.
Hadi sasa ni Nahreel ndiye aliyetayarisha ngoma nyingi na zilizofanya...
9 years ago
Raia Mwema03 Nov
Baba wa Magufuli alitaka mwanaye awe Padri
UMEWAHI kujiona ‘muasi’ wa ndoto za wazazi wako juu yako, wakitaka uwe hivi na wewe ukita uwe vil
Paul Sarwatt
11 years ago
CloudsFM19 Jun
YVONE SANGUDI:MTANZANIA ANAYEFANYA MUZIKI MAREKANI
Yvone Sangudi ni Mtanzania anayefanya muziki nchini Marekani,msanii huyo ametua Bongo juzi akitokea Hollywood Marekani,yeye ni msukuma wazazi wake wote wanaasili ya mkoani Mwanza,amezaliwa nchini Liberia amekulia huko Boston,Marekani na mwezi wa tano aliachia ngoma inayoitwa ‘Tanzanite’.
Ngoma ambayo inaendelea kufanya vizuri kwenye chati za itunes kipengele cha Pop lakini alikuwa featured kwenye magazine kubwa nchini Marekani kama the next song stress.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s72-c/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
PONGEZI KWA CHAMA CHANGU
![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s640/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
Baada ya kuangalia na kufuatilia mikutano ya kampeni kama kada wa chama cha mapinduzi anachukua nafasi hii kukipongeza Chama chake Chama Cha Mapinduzi kwa kuendesha kampeni zilizofuata misingi ya demokrasia, pia nawapongeza mh Dr John P. Magufuri na mama Samia Suluhu kwa kuweza kuzunguka Tanzania nzima kuwafikia watanzania wote kila kona, Ali Shein pia kwa upande wa Zanzibar. Nachukua nafasi hii kuwakumbusha watanzania wenzangu kujitokeza kuwapigia...
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Msuva: Msiniharibie kibarua changu
10 years ago
Vijimambo28 Dec
TIBAIJUKA NITATETEA KITI CHANGU
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/28/141128080706_tibaijuka_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Tibaijuka alipigwa kalamu kutokana na maadili yake kufuatia kashfa ya akaunti ya tageta...
9 years ago
Bongo506 Nov
Music: Harmonize — Kidonda Changu
![Harmonize - Kidonda Changu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Harmonize-Kidonda-Changu-300x194.jpg)
Harmonize ni msanii mpya katika Bongo Flevani ambae anafanya vizuri kwasasa na single yake ya “Aiyola”. Yupo katika usimamizi wa staa wa muziki, Diamond Platnumz huu ni wimbo wake ambao siyo rasmi umevuja unaitwa “Kidonda Changu” usikilize hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Tibaijuka:Nitatetea kiti changu