Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yvone: Baba alitaka kuzima kipaji changu

Licha ya kuwa watu huburudika kupitia sanaa, lakini wazazi wengi wamekuwa wagumu kuwaruhusu watoto wao kuingia kwenye fani hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Barnaba: Fally Ipupa anakifurahia kipaji changu

Barnaba amedai kuwa msanii wa DRC, Fally Ipupa ni mtu anayefurahia kipaji chake. Kwa miaka mingi Barnaba amekuwa na mpango wa kumshirikisha msanii huyo. Hata hivyo ameiambia Bongo5 kuwa anachoshukuru ni kwamba bado wanazungumza vizuri ili kuweka mpango huo wa kufanya kazi pamoja. “Kwanza ni mtu anayenifurahia,” amesema Barnaba. “Fally anafurahia kipaji changu, anapenda talent […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini aliamini kipaji changu nilipokuwa na miaka 14 – Nahreel

761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576

Joh Makini na Nahreel hawajafahamiana jana au juzi – kitambo.

761122d130c0d8ac30cf994bc2dc7576

Producer huyo amedai kuwa Joh alikikubali kipaji chake katika utengenezaji wa midundo tangu akiwa na umri wa miaka 14.

“Mtu wa kwanza aliyeniamini ni Joh Makini nilipokuwa na miaka 14. Alipokuja kusikia kazi zangu aliniambia kuwapa watu wanaostahili tu muziki wangu. Aliona kitu ndani yangu tangu mwanzo. Ni mwana familia,” Nahreel ameiambia Blog ya Coke Studio.

Hadi sasa ni Nahreel ndiye aliyetayarisha ngoma nyingi na zilizofanya...

 

9 years ago

Raia Mwema

Baba wa Magufuli alitaka mwanaye awe Padri

UMEWAHI kujiona ‘muasi’ wa ndoto za wazazi wako juu yako, wakitaka uwe hivi na wewe ukita uwe vil

Paul Sarwatt

 

11 years ago

CloudsFM

YVONE SANGUDI:MTANZANIA ANAYEFANYA MUZIKI MAREKANI

Yvone Sangudi ni Mtanzania anayefanya muziki nchini Marekani,msanii huyo ametua Bongo juzi akitokea Hollywood Marekani,yeye ni msukuma wazazi wake wote wanaasili ya mkoani Mwanza,amezaliwa nchini Liberia amekulia huko Boston,Marekani na mwezi wa tano aliachia ngoma inayoitwa ‘Tanzanite’.Ngoma ambayo inaendelea kufanya vizuri kwenye chati za itunes kipengele cha Pop lakini alikuwa featured kwenye magazine kubwa nchini Marekani kama the next song stress.

 

9 years ago

Vijimambo

PONGEZI KWA CHAMA CHANGU

Loveness Mamuya, mratibu wa CCM Marekani
Baada ya kuangalia na kufuatilia mikutano ya kampeni kama kada wa chama cha mapinduzi anachukua nafasi hii kukipongeza Chama chake Chama Cha Mapinduzi kwa kuendesha kampeni zilizofuata misingi ya demokrasia, pia nawapongeza mh Dr John P. Magufuri na mama Samia Suluhu kwa kuweza kuzunguka Tanzania nzima kuwafikia watanzania wote kila kona, Ali Shein pia kwa upande wa Zanzibar. Nachukua nafasi hii kuwakumbusha watanzania wenzangu kujitokeza kuwapigia...

 

10 years ago

Mwananchi

Msuva: Msiniharibie kibarua changu

>Kiungo mshambuliaji  wa Yanga, Simon Msuva amesema  usajili wake Simba utakuwa ni ndoto.

 

10 years ago

Vijimambo

TIBAIJUKA NITATETEA KITI CHANGU



Aliyekuwa waziri wa Ardhi na makao nchini Tanzania Anne Tibaijuka anasema kuwa atatetea kiti chake cha ubunge licha ya kashfa ya EscrowSiku kadhaa tu baada ya rais Kikwete kumfuta kazi Anne Tibaijuka kama waziri wa ardhi,nyumba na makao ,kiongozi huyo amewaambia wakaazi wa bunge lake kwamba hawakumchagua kama waziri bali kama mwakilishi wao wa bunge, kulingana na gazeti la The citizen nchini Tanzania.
Tibaijuka alipigwa kalamu kutokana na maadili yake kufuatia kashfa ya akaunti ya tageta...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Harmonize — Kidonda Changu

Harmonize - Kidonda Changu

Harmonize ni msanii mpya katika Bongo Flevani ambae anafanya vizuri kwasasa na single yake ya “Aiyola”. Yupo katika usimamizi wa staa wa muziki, Diamond Platnumz huu ni wimbo wake ambao siyo rasmi umevuja unaitwa “Kidonda Changu” usikilize hapa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

BBCSwahili

Tibaijuka:Nitatetea kiti changu

Tibaijuka aliwaonya wapinzani wake wa kisiasa kwamba yeye ndiyo chagua bora la wapiga kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani