Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YVONE SANGUDI:MTANZANIA ANAYEFANYA MUZIKI MAREKANI

Yvone Sangudi ni Mtanzania anayefanya muziki nchini Marekani,msanii huyo ametua Bongo juzi akitokea Hollywood Marekani,yeye ni msukuma wazazi wake wote wanaasili ya mkoani Mwanza,amezaliwa nchini Liberia amekulia huko Boston,Marekani na mwezi wa tano aliachia ngoma inayoitwa ‘Tanzanite’.Ngoma ambayo inaendelea kufanya vizuri kwenye chati za itunes kipengele cha Pop lakini alikuwa featured kwenye magazine kubwa nchini Marekani kama the next song stress.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Sheikha, Mkenya anayefanya muziki Qatar arejea tena na Bahati (Video)

RAM_8673 (1)

Mara ya mwisho tulizungumza na Sheikha takriban miaka miwili iliyopita alipoachia wimbo wake uitwao Mali Mbele aliomshirikisha Meja.

RAM_8673 (1)

Na sasa msanii huyo Mkenya aishie nchini Qatar, amerejea na wimbo mwingine uitwao Bahati ambapo ndani ya video hiyo anaonekana muogizaji wa Bongo Movie, Cheki Budi.

“Nilipo fanya Mali Mbele nilikuwa na nafasi ya kwenda Nairobi Kenya nchini kwetu kwenda recording kwa vile hapakuwa na studio hapa nchini nilipo Qatar. Ila kazi ikawa nyingi hapa Qatar sikuweza...

 

9 years ago

Michuzi

PROMOTER MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI ASHINDA TUZO YA "BEST PROMOTER" MAREKANI

                                Ndugu Dickson anayefahamika kwa wengi kama  Mr "DMK "Promoter "DMK" wa Kampuni ya DMK GLOBAL PROMOTIONS ashinda Tuzo ya Best Promoter USA katika zile tuzo za AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS USA 2015 ,Tuzo hizo zilitolewa OCTOBER 31 New York ambapo Makampuni 6 yalikuwa yakichuana kipengele hicho na DMK Global kuibuka kidedea,Pia katika Awards hizo Wasanii kutoka Tanzania Diamond alichukua Tuzo ya Hottest Male Single na Ommy Dimpoz tuzo ya People's Choice .
   ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive: Mtanzania DABO ametajwa kuwania tuzo za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (IRAWMA)

10349153_841207622565532_7288991937464718532_n

Unaweza kuwa humfahamu kwa vile hana kelele nyingi….TUONYESHE UZALENDO KWA KUMPIGIA KURA SASA

Msanii bora wa muziki wa Reggae Tanzania, DABO (Pichani) amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa kabisa za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music Awards (IRAWMA).

DABO anawania tuzo hizi katika kipengele cha Mtumbuizaji Mpya Bora, akikabiliwa na ushindani kutoka kwa wasanii MC...

 

11 years ago

Michuzi

MTANZANIA AFARIKI MAREKANI, NDUGU WA MAREHEMU WATAKIWA KUJITOKEZA

Habari kutoka Madison Wisconsin nchini Marekani zinasema kuwa mtanzania, Michael Agustine Lukindo (pichani), amefariki Dunia na hakuna taarifa zozote kuhusiana na ndugu zake. Lukindo ambaye ni mwenyeji wa Mkoa wa Tanga ameacha mke na watoto wanne. Kwa mujibu wa rafiki wa marehemu, Oliver Temba  juhudi za kuwapata ndugu zake hazikufanikiwa. Marehemu Michael Lukindo amefariki dunia mjini Madison Wisconsin-USA, kutokana na hali hiyo familia ya marehemu imewaomba ndugu wea marehemu kujitokeza...

 

10 years ago

Vijimambo

KUNA MTANZANIA MWENZETU ANAHITAJI MSAADA MINNESOTA NCHINI MAREKANI

Mchungaji Anastasia (phD) aliugua akiwa Usariver Arusha kwa muda wa wiki kadhaa kabla ya kulazwa Hospitalini Seliani pale

Arusha mjini I C U kwa wiki kama tatu hivi hatimaye alihamishwa Nairobi Hospital Kenya kwa Helicoptor tarehe 29 September

2014 na kufariki tarehe 19 October, 2014. na siku hiyo hiyo ya tarehe 19 October 2014 Apt ya Sebastian at 610S 8th st Apt 310,

Minneapolis, Mn 55404 iliteketea moto na binti yake aitwaye Joyce S Malle aliungua vibaya na kulazwa Hospitalini kule...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Wastara Aongoza Mapokezi ya Timoth, Mtanzania Alieshinda Tuzo Huko Marekani

Timoth Conrad Kachumia ambae ni mtayarishaji wa filamu na mkurugenzi wa kampuni Timamu Afriacan Media, amewasili leo mchana akitokea nchini Marekani ambapo hivi karibuni alishinda tuzo za kimataifa za Future Africa Awards.

Muigizaji Wastara Juma nimiongoni mwa watu aliofika uwaja wa ndege kimataifa wa JK nyerere kumpokea.

Baada ya mapokezi hayo walielekea kwenye ofisi za basata mabako Timoth alipata nafasi ya kuzungumza na wandishi wa habari.

Jionee baadhi ya picha za mapokezi hayo hapo...

 

9 years ago

Mtanzania

Muziki wa Afrika kuchezwa Marekani leo

AntiqueZIARA ya muziki ya mwimbaji wa Afro Pop kutoka Marekani, Wicks Davis ‘Antique’ nchini Marekani inatarajiwa kuonyesha ubora na vionjo vya muziki wa Afrika aliouandaa baada ya ziara yake ya kimataifa za kimuziki katika nchi hizo.

“Katika ziara yangu hiyo ya ‘The Remember Tour’ nitakuwa nikipiga muziki nilioutengeneza kutokana na ubora na vionjo vya muziki wa Afrika,’’ alisema Antique, alipozungumza na Mtanzania akitokea Marekani.

Onyesho la kwanza linafanyika leo katika ukumbi wa makumbusho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani