Sheikha, Mkenya anayefanya muziki Qatar arejea tena na Bahati (Video)
Mara ya mwisho tulizungumza na Sheikha takriban miaka miwili iliyopita alipoachia wimbo wake uitwao Mali Mbele aliomshirikisha Meja.
Na sasa msanii huyo Mkenya aishie nchini Qatar, amerejea na wimbo mwingine uitwao Bahati ambapo ndani ya video hiyo anaonekana muogizaji wa Bongo Movie, Cheki Budi.
“Nilipo fanya Mali Mbele nilikuwa na nafasi ya kwenda Nairobi Kenya nchini kwetu kwenda recording kwa vile hapakuwa na studio hapa nchini nilipo Qatar. Ila kazi ikawa nyingi hapa Qatar sikuweza...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM19 Jun
YVONE SANGUDI:MTANZANIA ANAYEFANYA MUZIKI MAREKANI
Yvone Sangudi ni Mtanzania anayefanya muziki nchini Marekani,msanii huyo ametua Bongo juzi akitokea Hollywood Marekani,yeye ni msukuma wazazi wake wote wanaasili ya mkoani Mwanza,amezaliwa nchini Liberia amekulia huko Boston,Marekani na mwezi wa tano aliachia ngoma inayoitwa ‘Tanzanite’.
Ngoma ambayo inaendelea kufanya vizuri kwenye chati za itunes kipengele cha Pop lakini alikuwa featured kwenye magazine kubwa nchini Marekani kama the next song stress.
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na kiongozi wa kampuni ya gesi ya Qatar na kutembelea eneo la ujenzi wa bandari mpya ya Qatar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bw. Otty Msuku ambaye ni Mtanzania , Mtalaamu wa upimaji ardhi katika mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar wakati alipotembelea eneo la ujenzi wa bandari hiyo akiwa katika ziara ya kikazi nchini humo Desemba 22, 2014. Katikati ni Mkurugenzi mwendeshaji wa Mradi huo, Don Morrison. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikaribishwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mradi wa Mradi wa ujenzi wa bandari mpya ya Qatar, Bw. Yusuf...
9 years ago
Bongo509 Dec
Video: Denno & Bahati – Story Yangu
![Screen-Shot-2015-12-08-at-11.03.05-AM](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Screen-Shot-2015-12-08-at-11.03.05-AM-300x194.png)
Video mpya ya wasanii Denno na Bahati kutoka Kenya wimbo unaitwa “Story Yangu”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
BBCSwahili21 May
Qatar 2022: Qatar yapinga madai ya Amnesty
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6K02zTZ_8ao/VF9r4_XpKkI/AAAAAAAGwMU/sXnqtSjfpJk/s72-c/IMG_1931.jpg)
DJ JD na DJ FAST EDDIE WAFANIKIWA KUREJESHA MUZIKI WA DISKO KILELENI TENA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6K02zTZ_8ao/VF9r4_XpKkI/AAAAAAAGwMU/sXnqtSjfpJk/s1600/IMG_1931.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tsSdx9-Cy5E/VF9r9Qo5S9I/AAAAAAAGwMc/Nkto5QnuHdQ/s1600/IMG_1932.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/UKs2bfe9tYE/default.jpg)
11 years ago
MichuziFURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa mafunzo ya ‘body percussion’ yaani matumizi ya mwili katika kutengeneza midundo ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5qas9fG9Lxo/default.jpg)