PONGEZI KWA CHAMA CHANGU
![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s72-c/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
Loveness Mamuya, mratibu wa CCM Marekani
Baada ya kuangalia na kufuatilia mikutano ya kampeni kama kada wa chama cha mapinduzi anachukua nafasi hii kukipongeza Chama chake Chama Cha Mapinduzi kwa kuendesha kampeni zilizofuata misingi ya demokrasia, pia nawapongeza mh Dr John P. Magufuri na mama Samia Suluhu kwa kuweza kuzunguka Tanzania nzima kuwafikia watanzania wote kila kona, Ali Shein pia kwa upande wa Zanzibar. Nachukua nafasi hii kuwakumbusha watanzania wenzangu kujitokeza kuwapigia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Kama chama changu kinataka kushinda, kishinde kwa nguvu ya hoja si kwa nguvu ya dola
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
Vijimambo30 Oct
PONGEZI KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI- TAWI LA CALIFORNIA
10 years ago
Vijimambo05 Feb
SAMATTA: sikubali, kwa kiwango changu Ulaya pananihusu
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2613800/highRes/938264/-/maxw/600/-/75hdk7z/-/sammata.jpg)
Straika huyo amejipatia umaarufu mkubwa miaka ya hivi karibuni kutokana na umahiri wake uwanjani hasa katika kufunga mabao. Anayafanya haya akiwa na klabu yake ya TP Mazembe pamoja na timu ya Taifa Tanzania.HAKUNA ubishi kwamba straika wa TP Mazembe na Taifa Stars, Mbwana Samatta, ndiye mwanasoka mahiri wa Tanzania katika zama hizi. Wapo wengi wanaotamba, lakini Samatta ni funga kazi kwa sasa.
Straika huyo amejipatia umaarufu mkubwa miaka ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4DcgMHknkJc/VaVUzb2YrVI/AAAAAAAHpqk/l4z0YBNbKd8/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.png)
PONGEZI KWA DKT. ALI MOHAMED SHEIN KWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM KWA NAFASI YA RAISI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-4DcgMHknkJc/VaVUzb2YrVI/AAAAAAAHpqk/l4z0YBNbKd8/s640/unnamed%2B%25281%2529.png)
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Pongezi kwa JWTZ kwa kutimiza miaka 50 tokea kuanzishwa
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa kwenye maonyesho Katika Uwanja wa Taifa.Picha na Maktaba.
Na Josephat Lukaza – Lukaza Blog.
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo limetimiza Miaka 50 toka Kuanzishwa kwake mnamo tarehe 1/09/1964. JWTZ ni moja ya Jeshi lililotajwa na Mtandao mmoja hivi karibuni kuwa Ni Jeshi lenye weredi wa hali juu Duniani kutokana na Operesheni ambazo wamewahi kuzifanya na...
10 years ago
Michuzi31 Oct
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Mhe. Sitta apewa pongezi kwa kuliendesha Bunge Maalum la Katiba kwa utulivu na amani
Sheikh Hemed Jalala akizungumza na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba (hayupo pichani) wakati alipotembelea Bunge Maalum leo 03 Septemba, 2014 kwa ajili ya kumpongeza kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya.
Na Magreth Kinabo, Dodoma.
BAADHI ya viongozi wa dini wamempongeza Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kwa kitendo chake cha kuliendesha Bunge hilo vizuri katika hali ya utulivu na amani.
Kauli hiyo imetolewa leo na Sheikh Hemed Jalala kutoka Msikiti wa Ghadiir...
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Shirikisho la Muziki Tanzania latoa pongezi kwa Bunge Maalum la Katiba kwa kazi nzuri
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo November (katikati) akizungumza na waandishi wa habari, wakati akilipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki. Kulia ni Mwanamuziki Kasim Mapili na Samatta Rajabu.
Na Anitha Jonas –Maelezo.
SHIRIKISHO la Muziki Tanzania limetoa pongezi za dhati kwa Bunge Maalum la Katiba lililokuwa likiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta kwa kuingiza Ibara tatu katika Rasimu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MjACZjMns40SaYjnCy9kFTbbnPVPq14ZS5hBbSZi6h4nwke8LtoRuG5SIhXuIRkwRSHUPlsdmtVbaaUCpFGGO*5/08diamondtuzo8.jpg?width=650)
PONGEZI KWA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14