Music: Harmonize — Kidonda Changu
Harmonize ni msanii mpya katika Bongo Flevani ambae anafanya vizuri kwasasa na single yake ya “Aiyola”. Yupo katika usimamizi wa staa wa muziki, Diamond Platnumz huu ni wimbo wake ambao siyo rasmi umevuja unaitwa “Kidonda Changu” usikilize hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ueG4tHen4-4/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Lissu atonesha ‘kidonda’
MSEMAJI wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Tundu Lissu jana alitonesha madonda ya mjadala wa muundo wa Muungano uliyokuwa ukijadiliwa kwa hisia kali wakati wa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
‘Serikali ina kidonda ndugu’
MBUNGE wa Viti Maalumu, Conchester Rwamlaza (CHADEMA), amesema serikali ina kidonda ndugu ambacho hakiponi kutokana na kuruhusu mianya ya rushwa. Conchesta alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akichangia hotuba ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZC1Ag5nyqljvA4pGhC42qbhBpF6z1GY9rFN-dWpXvMA8aFo0VdCDuvRtYGzRMPwzdx-N2DmdctXdQqBX7eLG3x/CATHY.jpg)
CATH: KIFO CHA DEO KIMENIACHIA KIDONDA KIKUBWA
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Tobo: Operesheni mpya inasaidia kupunguza ukubwa wa kidonda
10 years ago
Bongo Movies11 Feb
Ommy Dimpoz: Inzi Kufa Kwenye Kidonda Sio Ufala....
Japokuwa bado kuna baadhi ya watu hawaamini kuwa mwigizaji Wema Sepetu yupo kwenye mahusiano ya kimapezi na mwanamziki Ommy Dimpoz, eti wana-shoot video!!, sasa ukweli unazidi kujitokeza siku hadi siku.
Siku ya jana msanii Ommy Dimpoz alitupia picha hiyo hapo juu kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa Instagram, na kuandika kipande cha maneno kutoka kwenye moja ya nyimbo za Yamoto Band.
“Inzi kufia kwenye kidonda sio ufala ila kapenda......”
Haikuishia hapo, muda kidogo akatupia kipande...
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Tibaijuka:Nitatetea kiti changu
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s72-c/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
PONGEZI KWA CHAMA CHANGU
![](http://1.bp.blogspot.com/-JdEQUN3hlYg/Viw0-bzCnAI/AAAAAAAEC-I/SAbzFKFxZLE/s640/f35b26fe0f501d2a14831a2b653d68da.jpg)
Baada ya kuangalia na kufuatilia mikutano ya kampeni kama kada wa chama cha mapinduzi anachukua nafasi hii kukipongeza Chama chake Chama Cha Mapinduzi kwa kuendesha kampeni zilizofuata misingi ya demokrasia, pia nawapongeza mh Dr John P. Magufuri na mama Samia Suluhu kwa kuweza kuzunguka Tanzania nzima kuwafikia watanzania wote kila kona, Ali Shein pia kwa upande wa Zanzibar. Nachukua nafasi hii kuwakumbusha watanzania wenzangu kujitokeza kuwapigia...
10 years ago
Vijimambo28 Dec
TIBAIJUKA NITATETEA KITI CHANGU
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/28/141128080706_tibaijuka_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Tibaijuka alipigwa kalamu kutokana na maadili yake kufuatia kashfa ya akaunti ya tageta...