Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lissu atonesha ‘kidonda’

MSEMAJI wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Tundu Lissu jana alitonesha madonda ya mjadala wa muundo wa Muungano uliyokuwa ukijadiliwa kwa hisia kali wakati wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Serukamba atonesha vidonda Escrow, Tokomeza

peter-serukambaKhamis Mkotya na Arodia Peter, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba (CCM), ametonesha vidonda vya ufisadi baada ya kuzungumzia ripoti ya Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue iliyowasafisha baadhi ya watendaji serikalini waliohusika katika kashfa ya Escrow.

Serukamba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, alishangazwa na taarifa hiyo kuwasafisha baadhi ya watu waliohusishwa katika kashfa hiyo na kuwaacha wengine, jambo ambalo alisema ni ubaguzi.

Kauli hiyo aliitoa...

 

5 years ago

Michuzi

WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU

WADHAMINI wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, Ibrahim Ahmed na Robart Katula wamefungua maombi  katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiomba itolewe amri ya kukamatwa kwa mshtakiwa huyo kwa kuwa wao wameshindwa kumpata.
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali ina kidonda ndugu’

MBUNGE wa Viti Maalumu, Conchester Rwamlaza (CHADEMA), amesema serikali ina kidonda ndugu ambacho hakiponi kutokana na kuruhusu mianya ya rushwa. Conchesta alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akichangia hotuba ya...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Harmonize — Kidonda Changu

Harmonize - Kidonda Changu

Harmonize ni msanii mpya katika Bongo Flevani ambae anafanya vizuri kwasasa na single yake ya “Aiyola”. Yupo katika usimamizi wa staa wa muziki, Diamond Platnumz huu ni wimbo wake ambao siyo rasmi umevuja unaitwa “Kidonda Changu” usikilize hapa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Mwananchi

Tobo: Operesheni mpya inasaidia kupunguza ukubwa wa kidonda

>Operesheni mpya inayotumia njia ya kutoboa badala ya kupasua sasa umeanza kuzoeleka katika hospitali kubwa tatu nchini.

 

9 years ago

GPL

CATH: KIFO CHA DEO KIMENIACHIA KIDONDA KIKUBWA

Na Imelda Mtema Muigizaji wa muda mrefu, Sabrina Rupia ‘Cath wa Mambo Hayo’, amekiri kuumia vibaya kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe kutokana na ukaribu wao na jinsi alivyokuwa na moyo wa kuwajali wengine. Muigizaji wa muda mrefu, Sabrina Rupia ‘Cath. Akizungumza kwa uchungu na mwandishi wetu kwa njia ya simu kutoka Ludewa alikohudhuria mazishi ya mbunge huyo, Cath alisema maumivu aliyonayo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ommy Dimpoz: Inzi Kufa Kwenye Kidonda Sio Ufala....

Japokuwa bado kuna baadhi ya watu hawaamini kuwa mwigizaji Wema Sepetu yupo kwenye mahusiano ya kimapezi na mwanamziki Ommy Dimpoz, eti wana-shoot video!!, sasa ukweli unazidi kujitokeza siku hadi siku.

Siku ya jana msanii Ommy Dimpoz alitupia picha hiyo hapo juu kwenye ukursa wake  kwenye mtandao wa Instagram, na kuandika kipande cha maneno kutoka kwenye moja ya nyimbo za Yamoto Band.

“Inzi kufia kwenye kidonda sio ufala ila kapenda......”

Haikuishia hapo, muda kidogo akatupia kipande...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu atikisa serikali

MAKOMBORA ya maneno yaliyokuwa yakitolewa na msemaji wa taarifa ya wachache bungeni, Tundu Lissu, juu ya muundo wa muungano, na kutokuwapo kwa Hati za Muungano kumetikisa serikali ambayo sasa imeamua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani