MHE. MAALIM SEIF AMEWATAKA WAISLAMU NCHINI KUACHANA NA TABIA YA KUGOMBANIA MISIKITI
![](http://1.bp.blogspot.com/-E-oLuiUpMg0/VSfhaZxZycI/AAAAAAAA6T8/DU-TcQvrDS4/s72-c/D.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akifungua pazia kuashiria ufunguza rasmi wa MASJID AQSAA katika kijiji cha Kiboja Mkwajuni, Wilaya ya Kati Unguja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia waumini wa dini ya Kiislamu waliohudhuria ufunguza wa MASJID AQSAA katika kijiji cha Kiboja Mkwajuni, Wilaya ya Kati Unguja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, viongozi wa dini ya kiislamu nchini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZcKg3KOrnZ8/VPSjk0CCCoI/AAAAAAAHHMA/aY76mWl0KaI/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, akutana na balozi wa Uholanzi nchini Mhe. Jaap Frederiks
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZcKg3KOrnZ8/VPSjk0CCCoI/AAAAAAAHHMA/aY76mWl0KaI/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-X1dlYh6fvTU/VPSjlaVPKJI/AAAAAAAHHMI/HguN46jdUfg/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GVy0aqKc92c/VPSjmSigi2I/AAAAAAAHHMQ/vCIJPurYkyA/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
10 years ago
MichuziMakamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad awasili nchini Qatar kwa ziara ya siku nne ya kiserikali.
11 years ago
Dewji Blog28 Jun
Balozi Seif ashauri kamati za misikiti nchini
Balozi Seif akizungumza na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Kijiji cha Kiboje Mamboleo mara baada kuufungua msikiti wao wa Ijumaa uliofanyiwa matengenezo makubwa.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).
Mwandishi Wetu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amezikumbusha Kamati za Misikiti hapa nchini kuendelea kuwa imara kwa kutowaruhusu watu wanaopenda kujipenyeza ndani ya kamati hizo kwa nia ya kuanza kutoa madarasa ya uchochezi na kuwagawa waumini kimadhehebu. Alisema...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q5SpIk_kUpk/U66hnC1PwHI/AAAAAAAFtVU/9Ib4pUMRb3M/s72-c/967.jpg)
BALOZI SEIF IDDI AZIKUMBUSHA KAMATI ZA MISIKITI NCHINI KUWA MAKINI NA MADARASA YA UCHOCHEZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q5SpIk_kUpk/U66hnC1PwHI/AAAAAAAFtVU/9Ib4pUMRb3M/s1600/967.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nk4LClbfJ9I/U66hgu_ntHI/AAAAAAAFtVE/G4Z1VhxFVfs/s1600/933.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amezikumbusha Kamati za Misikiti hapa nchini kuendelea kuwa imara...
10 years ago
VijimamboKatibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.
Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s72-c/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
MAALIM SEIF ZIARANI NCHINI UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s1600/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
Ziara hiyo inafuatia mwaliko rasmi wa serikali ya Uturuki kupitia kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe. Ahmet Davutoglu.
Kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa mjini Istanbul, Maalim Seif alipokelewa na Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo Mhe. Mevlut Cavusoglu.
Mbali ya kufanya mazungumzo na mwenyeji wake ambaye ni Waziri Mkuu wa Uturuki, Makamu wa Kwanza wa Rais wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6gNLWALUrCg/VaScrp5NR0I/AAAAAAAHphc/jqxNmkF1bzE/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
Ziara ya Maalim Seif nchini Italy
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-CIM8GytcDOw/VaeuZUhEphI/AAAAAAAB1pk/2Bb43KwoWtY/s72-c/1.bmp)
Maalim Seif awasili nchini akitokea Italy
![](http://3.bp.blogspot.com/-CIM8GytcDOw/VaeuZUhEphI/AAAAAAAB1pk/2Bb43KwoWtY/s640/1.bmp)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0e3-DncLFMI/VaeuZgbM7FI/AAAAAAAB1ps/bBPuWvEMR9k/s640/4.bmp)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OBv_eLFjLeM/VaeucWg4vdI/AAAAAAAB1p8/sntbA6TClzw/s640/5.bmp)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPczxIdJmc8/VaeuZlxjQBI/AAAAAAAB1po/85De3HvijOg/s640/2.bmp)
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na balozi wa Ufaransa nchini Tanzania