Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MHANI:WACHEZAJI JIFUENI MAJUMBANI KUJIWEKA FITI WAKATI MKIJIKINGA NA CORONA

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMCHEZAJI mkongwe aliyewahi kucheza katika vilabu mbalimbali nchini ikiwemo timu ya Taifa (Taifa Starts), Douglas Mhani, amewataka wachezaji kufanya mazoezi binafsi ili kujiweka fiti.
Mhani alitoa rai hiyo mkoani hapa,ambapo alisema tangu ugonjwa wa corona uingie nchini, hatua mbalimbali zinachukuliwa na serikali kuhakikisha tunapambana nao, huku madaktari bingwa ulimwenguni wakiendelea kutafuta tiba.
"Tangu kuibuka kwa ugonjwa huo wa Corona hatua mbalimbali zimekuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Steven Gerrard arudi Liverpool kujiweka fiti zaidi

gerrard4

Nahodha wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard amerudi katika mji wake wa nyumbani kufanya mazoezi na timu yake ya zamani tangu umalizike msimu wa Major League Soccer na timu ya LA Galaxy ya Marekani. Amekaribishwa na kocha Jurgen Klopp siku ya Jumatatu.

gerrard1
Steven Gerrard akielekea Melwood, Liverpool kufanya mazoezi

Mjerumani huyo amefanikiwa kumaliza mazungumzo haraka kuhusu kumrudisha Gerrard Anfield – kwani anarudi klabuni kufanya mazoezi.

klopp
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp akiwasili katika...

 

5 years ago

Michuzi

Ubongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona

Katika kuunga mkono juhudi za kupambana na usambaaji wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona, taasisi ya Ubongo, ambayo inayoongoza barani Afrika kwa kutengeneza vipindi kwa njia ya kidigitali kwa ajili ya kufundisha watoto wa rika mbalimbali kwa njia ya mfumo wa elimu-burudani imesema kuwa itatoa ushirikiano mkubwa katika kuchukua hatua madhubuti na kuwaunga mkono walezi na watoto kuendelea kujifunza nyumbani wakati shule zimefungwa.
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Unyanyasaji wa wenza majumbani

Walioko kwenye ndoa zenye manyanyaso wanawashauri wanawake wengine kuepuka madhila hayo wakati huu wa amri ya kutotoka nje.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Tutaweza vipi kulinda bayoanuwai wakati wa corona?

Wakati huu wa virusi vya corona bayoanuwai na mazingira kwa ujumla vimeathirika. Lakini je bayoanuwai inaweza kulindwa vipi wakati huu wa virusi corona?. Wataalamu wanaeleza

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona

Vile simu ya daktari huyu ilivyokuwa mfariji wake kipindi hiki cha corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Congo inavyopambana na Ebola na corona kwa wakati mmoja

Wakati ugonjwa wa Corona ukisambaa nchini humo, mamlaka ya afya ambayo sasa zinakabiliana na magonjwa yote mawili ya mlipuko hatari wakati wakiwahudumia wagonjwa wa mlipuko wa kipindupindu pia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu wengi wako majumbani na kufanya mtikiso wa ardhini kupungua

Masharti yaliyowekwa kukabiliana na Covid-19 kuna maanisha wengi wahawatumii usafiri wa gari, treni, au kufayakazi viwandani na kubadilisha mwenendo wa dunia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona

Janga la coronavirus limesababisha matatizo kwa kila mmoja. Lakini je umewahi kujiuliza hali ikoje kwa wasio na uwezo na kuona?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani