MHANI:WACHEZAJI JIFUENI MAJUMBANI KUJIWEKA FITI WAKATI MKIJIKINGA NA CORONA
Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMCHEZAJI mkongwe aliyewahi kucheza katika vilabu mbalimbali nchini ikiwemo timu ya Taifa (Taifa Starts), Douglas Mhani, amewataka wachezaji kufanya mazoezi binafsi ili kujiweka fiti.
Mhani alitoa rai hiyo mkoani hapa,ambapo alisema tangu ugonjwa wa corona uingie nchini, hatua mbalimbali zinachukuliwa na serikali kuhakikisha tunapambana nao, huku madaktari bingwa ulimwenguni wakiendelea kutafuta tiba.
"Tangu kuibuka kwa ugonjwa huo wa Corona hatua mbalimbali zimekuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Dec
Steven Gerrard arudi Liverpool kujiweka fiti zaidi
Nahodha wa zamani wa Liverpool, Steven Gerrard amerudi katika mji wake wa nyumbani kufanya mazoezi na timu yake ya zamani tangu umalizike msimu wa Major League Soccer na timu ya LA Galaxy ya Marekani. Amekaribishwa na kocha Jurgen Klopp siku ya Jumatatu.
Steven Gerrard akielekea Melwood, Liverpool kufanya mazoezi
Mjerumani huyo amefanikiwa kumaliza mazungumzo haraka kuhusu kumrudisha Gerrard Anfield – kwani anarudi klabuni kufanya mazoezi.
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp akiwasili katika...
5 years ago
MichuziUbongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Unyanyasaji wa wenza majumbani
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Tutaweza vipi kulinda bayoanuwai wakati wa corona?
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Congo inavyopambana na Ebola na corona kwa wakati mmoja
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya corona: Watu wengi wako majumbani na kufanya mtikiso wa ardhini kupungua
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona