Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Frank Lampard afunga ndoa London

2F8903DD00000578-3367957-image-a-80_1450636450422Frank Lampard akimbusu mke wake Christine Bleakley baada ya kufunga ndoa jana Jumapili London.

2F888FD700000578-3367957-image-a-33_1450634348042Christine Bleakley akiwapungia mkono marafiki zake (hawapo pichani) baada ya kufika kanisani.

 

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lampard avunja ukimya, afunga ndoa na Christine

LampardLONDON, ENGLAND

NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester City na Chelsea, Frank Lampard, amefanikiwa kufunga ndoa juzi na mke wake ambaye ni mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha BBC nchini England, Christine Bleakley.

Kiungo huyo wa zamani wa timu ya Taifa ya England mwenye umri wa miaka 37, ameamua kukamilisha ahadi yake baada ya kukaa kwenye uchumba kwa miaka minne na Christine.

Ndoa hiyo ilifungwa kwenye Kanisa la St Paul’s lililopo Knightsbridge, jijini London, ambapo wachezaji...

 

11 years ago

BBCSwahili

Frank Lampard kuaga Chelsea

Kiungo cha kati,Frank Lampard kuondoka Chelsea baada ya kuichezea kwa miaka 13.

 

10 years ago

BBCSwahili

Frank Lampard kusalia Manchester City

Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini anaamini watambakisha kiungo Frank Lampard.

 

5 years ago

Eurosport.Com

Paul Parker: Frank Lampard is now under real pressure

Paul Parker: Frank Lampard is now under real pressure  Eurosport.comBruno Fernandes reacts to Manchester United win vs Chelsea  Sportslens.comCommentator shouts 'Harry Potter!' after Harry Maguire's goal for Manchester United v Chelsea  GIVEMESPORTChelsea star’s stats provide Lampard with one positive from Manchester United defeat  CaughtOffside'Everyone knows that Pogba wants to leave' - Man Utd's star's brother fuels transfer speculation  Goal.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Bleacher Report

Chelsea's Frank Lampard Says N'Golo Kante Adductor Injury 'Doesn't Look Great'

Chelsea's Frank Lampard Says N'Golo Kante Adductor Injury 'Doesn't Look Great'  Bleacher ReportBruno Fernandes reacts to Manchester United win vs Chelsea  Sportslens.comMan United captain Harry Maguire says kick at Michy Batshuayi was his 'natural reaction'  GIVEMESPORTConcern for N'Golo Kanté, with EURO 2020 four months away  Get French Football News'We can do much better' - Fernandes sees plenty of room for improvement after Man Utd's win at Chelsea  Goal.comView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Africanjam.Com

STEVEN GERRARD NA FRANK LAMPARD KUIAGA LIGI YA UINGEREZA WEEKEND HII

Vitabu vya historia vya ligi kuu ya England hususan timu za Chelsea na Liverpool vinatarajia kufungwa mwishoni mwa wiki hii wakati ambapo wachezaji wawili wa zamani wa timu ya taifa ya England watakapokuwa wanazichezea klabu zao kwa mara moja ya mwisho .Frank Lampard ambaye anacheza kwa mkopo kwenye klabu ya Manchester City toka klabu ya New York City Fc iliyomsajili toka Chelsea na mwenzie Steven Gerard wa Liverpool wanatarajiwa kupunga mkono wa kwaheri kwa ligi kuu ambapo watakuwa...

 

5 years ago

Mirror Online

Rio Ferdinand explains how his Man Utd career damaged Frank Lampard relationship

Rio Ferdinand explains how his Man Utd career damaged Frank Lampard relationship  Mirror OnlineLampard needs more than Ziyech to make Chelsea great again - Jarosik  GoalHow Chelsea could line up next season if they land £200m+ trio  CaughtOffsideChelsea news: N'Golo Kante not being played in his best position, says Gus Poyet  SquawkaNot all of Chelsea’s youth will have a place again next season  The Pride of LondonView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Express

Key Chelsea problem Frank Lampard must fix explained by Paul Merson after Man Utd loss

Key Chelsea problem Frank Lampard must fix explained by Paul Merson after Man Utd loss  ExpressCommentator shouts 'Harry Potter!' after Harry Maguire's goal for Manchester United v Chelsea  GIVEMESPORTChelsea 0-2 Manchester United: Three things we learned  The Busby Babe'Everyone knows that Pogba wants to leave' - Man Utd's star's brother fuels transfer speculation  Goal.comMan United confident of beating Chelsea FC to sign Jadon Sancho – report  The Sport ReviewView Full coverage on Google...

 

11 years ago

GPL

NASSARI AFUNGA NDOA

Joshua Samwel Nassari (kulia) akiwa na mke wake Anande Nko. Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto. Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana ambapo watu wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani