Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Makaidi alalamikia fitna Masasi

Mgombea ubunge Jimbo la Masasi mkoani Mtwara, kwa tiketi ya NLD, Dk Emmanuel Makaidi amesema anahisi harufu ya hujuma, lakini haihofii na ameapa kupambana hadi ashinde.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Makaidi akumbana na kigingi Masasi

Mgombea ubunge Jimbo la Masasi mkoani Mtwara kupitia Chama cha NLD, Emmanuel Makaidi amepata wakati mgumu baada ya wakazi wa jimbo hilo kuendelea kumkataa kwa madai kuwa siyo chaguo lao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Ndumbaro epuka soka fitna uchaguzi Simba

KARIBUNI Wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama ada ni Jumatatu nyingine tena tunakutana kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu katika jamii. Wiki iliyopita,...

 

11 years ago

Michuzi

CUF kutowavumilia watendaji watakaobainika kuendeleza fitna na majungu

 Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizindua kamati tendaji za Wilaya za Pemba katika ofisi za CUF Wilaya ya Chake Chake. Wajumbe wa  kamati tendaji za Wilaya za Pemba wakianza kikao kwa dua katika ofisi za CUF Wilaya ya Chake Chake.  Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Magharibi Unguja Bi. Raisa Abdallah Mussa, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kamati tendaji kwa Wilaya za Unguja katika ofisi za CUF Wilaya hiyo zilizoko Kilimahewa.  Baadhi ya wajumbe wa kamati tendaji Wilaya...

 

10 years ago

Bongo Movies

KIMENUKA! Cloud Amfanyia Fitna Frank Mwikongi Deal La Kwenda Kufanya Filamu Uingereza, Ushahidi Wasambaa.

Mambo hadharani !...Haya ni mapya yameibuka leo bila chenga. muigizaji wa filamu nchini Issa Musa "Cloud 112" anadaiwa kumfanyia fitna na majungu star mwenzake wa filamu nchini Frank Mohamed Mwikongi katika deal la kucheza filamu lililotokea nchini Uingereza hivi karibuni.
Kwa ,mujibu wa Didas Fashions ambaye ndiye mtengenezaji wa filamu hiyo ya Mateso Yangu Ughaibuni chaguo la kwanza la filamu hiyo alikuwa ni Frank Mwikongi na walizungumza mwanzo na kuafikiana Frank alipwe mil.2 kama...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwambusi alalamikia waamuzi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema mdudu mbaya anayefanya kiwango cha soka nchini kishindwe kukua ni waamuzi wasiokuwa wadilifu katika uchezeshaji wao hasa kwa timu ndogo zinazoibuka na kuonyesha ushindani mkubwa dhidi ya timu kubwa.

 

10 years ago

GPL

NYAMWELA ALALAMIKIA WIVU WA MKEWE

STORI: Shakoor Jongo
RAIS wa Chama cha Wacheza Shoo wa Muziki wa Dansi Tanzania, anayepiga mzigo na Bendi ya Extra Bongo, Hassan Musa ‘Nyamwela’ ameonesha kuulalamikia wivu alionao mkewe aitwaye Hawa baada ya kufunguka kuwa, kutokana na hali hiyo analazimika kuongozana naye kila sehemu. RAIS wa Chama cha Wacheza Shoo wa Muziki wa Dansi Tanzania, anayepiga mzigo na Bendi ya Extra Bongo, Hassan Musa ‘Nyamwela...

 

10 years ago

GPL

MREMA ALALAMIKIA WAWEKEZAJI VUNJO

Mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema (kushoto) akielezea mgogoro uliopo baina ya mwekezaji na wananchi wa jimbo lake (kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Vicent Tiganya) pamoja na wanahabari pembeni. .... Mrema (wa nne kutoka kushoto) akiwa ameambatana na baadhi ya wananchi wa Jimbo la Vunjo Moshi (kushoto) wakati akizungumza na wanahabari.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alalamikia GGM kumpora ardhi

KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGM) inatuhumiwa kumpora mzawa, Hosea Katampa, eneo lake lililopo Lijeti namba tatu licha ya kwenda mahakamani kulidai na kupewa kihalali. Katampa alitoa malalamiko hayo juzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani