Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwambusi alalamikia waamuzi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema mdudu mbaya anayefanya kiwango cha soka nchini kishindwe kukua ni waamuzi wasiokuwa wadilifu katika uchezeshaji wao hasa kwa timu ndogo zinazoibuka na kuonyesha ushindani mkubwa dhidi ya timu kubwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NYAMWELA ALALAMIKIA WIVU WA MKEWE

STORI: Shakoor Jongo
RAIS wa Chama cha Wacheza Shoo wa Muziki wa Dansi Tanzania, anayepiga mzigo na Bendi ya Extra Bongo, Hassan Musa ‘Nyamwela’ ameonesha kuulalamikia wivu alionao mkewe aitwaye Hawa baada ya kufunguka kuwa, kutokana na hali hiyo analazimika kuongozana naye kila sehemu. RAIS wa Chama cha Wacheza Shoo wa Muziki wa Dansi Tanzania, anayepiga mzigo na Bendi ya Extra Bongo, Hassan Musa ‘Nyamwela...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Makaidi alalamikia fitna Masasi

Mgombea ubunge Jimbo la Masasi mkoani Mtwara, kwa tiketi ya NLD, Dk Emmanuel Makaidi amesema anahisi harufu ya hujuma, lakini haihofii na ameapa kupambana hadi ashinde.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alalamikia GGM kumpora ardhi

KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGM) inatuhumiwa kumpora mzawa, Hosea Katampa, eneo lake lililopo Lijeti namba tatu licha ya kwenda mahakamani kulidai na kupewa kihalali. Katampa alitoa malalamiko hayo juzi...

 

10 years ago

GPL

MREMA ALALAMIKIA WAWEKEZAJI VUNJO

Mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema (kushoto) akielezea mgogoro uliopo baina ya mwekezaji na wananchi wa jimbo lake (kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Vicent Tiganya) pamoja na wanahabari pembeni. .... Mrema (wa nne kutoka kushoto) akiwa ameambatana na baadhi ya wananchi wa Jimbo la Vunjo Moshi (kushoto) wakati akizungumza na wanahabari.… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Mbunge alalamikia mfumo wa elimu nchini

chadema_financeNA SAFINA SARWATT, MOSHI

MBUNGE wa Moshi Vijijini, Anthony Komu (Chadema), amesema Watanzania wengi ni masikini kwa kuwa mfumo wa elimu uliopo nchini ni mbovu.

Komu aliyasema hayo juzi katika Tarafa ya Kibosho Magharibi alipokuwa kwenye ziara na Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus Makunga.

Wakati wa ziara hiyo, Komu alilenga kusikiliza kero za wananchi na kukutana na viongozi waliomaliza muda wao wakiwamo wenyeviti wa vijiji na madiwani.

“Watanzania wanatakiwa kujengewa misingi bora ya elimu...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbunge alalamikia maji yanayoharibu meno

MBUNGE wa Viti Maalumu, Rebecca Ngodo (Chadema), amelalamikia maji ya wilayani Meru kuwa yanawaharibu meno wakazi wa maeneo hayo.

Akiuliza swali bungeni jana, Ngodo alisema wananchi wa wilaya hiyo wanapata athari za afya ikiwemo kuwa na meno yenye rangi ya kahawia na miguu yenye matege kutokana na maji kuwa na madini ya fluoride iliyozidi.

“Ni wajibu wa Serikali kuhakikisha watu wake wanapata maji safi na salama kutokana na kodi wanazolipa, Serikali inafanya nini kukabiliana na ongezeko la...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ndugai alalamikia mauaji ya wakulima Kiteto


THEODOS MGOMBA 
Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai NAIBU Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema amesikitishwa na mauaji ya wakulima yanayoendelea kutokea katika wilaya ya Kiteto,   ambayo inapakana na jimbo lake la Kongwa na kuitaka serikali kuingilia kati.Ndugai alifikia hatua hiyo jana baada ya Mozza Abeid  (Viti Maalumu-CUF) kuomba mwongozo wa Spika. 
Akitumia kanuni ya 68(7), Moza alisema kumekuwa kukitokea mauaji ya kutisha ya wakulima katika wilaya ya Kiteto. 
Moza alisema katika kipindi cha...

 

10 years ago

Michuzi

MDAU ALALAMIKIA KUCHELEWESHWA UTOLEWAJI WA VYETI VETA.


Lalamiko langu kubwa ni kuhusu VETA kumekuwa na tatizo la ucheleweshaji wa vyeti pindi wahitimu wanapomaliza course zao siju ni kwanini? 
Tukiangaliwa vyuo vingi vinavyomilikiwa na serikali wanafunzi wanapomaliza shule yao na matokeo yao yakatoka uwa wanapewa result
slip inayoonyesha kuwa huyu mtu amemaliza course fulani na ameshinda wakati anasubili cheti chake na cheti hakichelewi sana kutoka kama ilivyo kwa VETA kitu ambacho ni tofauti na VETA.
Mwanafunzi anapomaliza course yake na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani